ni sahihi kwa mwanaume.....

yani NI SAHIHI KABISA KABISA....hata kama nna kipato ...NKIOMBA NAULI NIPE,HELEA YA NGUO NIPE...WANAUME WAMEUMBWA MATESO.....nafikiri ni sahihi wtaoe na mi napewaga..japo mtu analalamika lakini ndo hivyo si wanawake tunamabo mengi wao hilo tuu aaaha.....YANI ATOE KWA MOYO 1....HATA KAMA NIMEMZIDI MSHAHARA....and i love this part.......anavyolalamika pale....lol...:wink2:

ni kweli inapendeza akitoa kwa moyo ila ni vizuri at times kuangalia mfuko wa mwenzio pia uko vipi au?
 
si sahihi angekuwa ni mamawa nyumbani hapo sawa lazima umpe mkeo hela za matumiz binafsi lakin so long as nae anafanya kaz nae mwisho wa mwezi anapokea mshahara sion tija ya kumpa hela tena,,,,,vinginevyo ni matumiz mabaya ya pesa,na mwanaume wa aina hii ni yule aliyezoea kuhonga wanawake:blah:

matumizi mabaya ya pesa kumpa mkeo pesa ya kumfanya azidi kupendeza??
 
nafikiri tabia nyingine ziachwe....hiyo iliwafaa zaidi wamama wa nyumbani...sasa mtu una kipato kizuri hata saloon upewe? na ada ya mtoto si ndo kabisa na bill za nyumba atalipa mume? tushirikiane kipato kwa maslahi ya familia na lile unaloweza afford mwenyewe we tumia hela yako....kama ni kukuonyesha moyo wake ulivyo atakuonyesha tu kwa kukupa au kukununulia vitu mara kwa mara au kukupeleka sehemu utakayofurahia.....kupewa nauli na vinginevyo its not a guarantee kuwa unatunzwa.....ila nahisi ndani wanaume wenye wanawake wenye hela lakini matumizi hayaeleweki waga wana hofu wakiondoka wao hapa duniani kama wanawake wao wataweza mudu familia.....duh!!
michelle my dea wewe hutaki kuomba hela kwenda kusuka pick n drop? au unaongelea saluni for wash n set?? ha ha ha ... lol :wink2:
 
Wanawake inabidi muondoe mawazo ya kijima vichwani mwenu!!!
Kila upande katika nyumba unatakiwa kuuinua upande mwingine. Mwanamke unatakiwa kumuomba bwana wako tena kwa kupembeleza ila yeye hatakiwi kukuomba. Unatakiwa umpe kwa umbembeleza pasipo yeye kukuomba. just catch him in need and give him. Mwanaume kwako anatakiwa kuomba kitu kimoja tu ....................... KUKU************! ................ vingine vyote mpe bila kuomba! Siku akiwa na hamu ya nanino akauchuna bila kukuomba tena kwa kukubembeleza kwa ahadi za asali na vilio vya nyika na konde then, njoo niambie ntakupa limbwata kali sana!!
 
Back
Top Bottom