yani NI SAHIHI KABISA KABISA....hata kama nna kipato ...NKIOMBA NAULI NIPE,HELEA YA NGUO NIPE...WANAUME WAMEUMBWA MATESO.....nafikiri ni sahihi wtaoe na mi napewaga..japo mtu analalamika lakini ndo hivyo si wanawake tunamabo mengi wao hilo tuu aaaha.....YANI ATOE KWA MOYO 1....HATA KAMA NIMEMZIDI MSHAHARA....and i love this part.......anavyolalamika pale....lol...:wink2:
si sahihi angekuwa ni mamawa nyumbani hapo sawa lazima umpe mkeo hela za matumiz binafsi lakin so long as nae anafanya kaz nae mwisho wa mwezi anapokea mshahara sion tija ya kumpa hela tena,,,,,vinginevyo ni matumiz mabaya ya pesa,na mwanaume wa aina hii ni yule aliyezoea kuhonga wanawake:blah:
michelle my dea wewe hutaki kuomba hela kwenda kusuka pick n drop? au unaongelea saluni for wash n set?? ha ha ha ... lol :wink2:nafikiri tabia nyingine ziachwe....hiyo iliwafaa zaidi wamama wa nyumbani...sasa mtu una kipato kizuri hata saloon upewe? na ada ya mtoto si ndo kabisa na bill za nyumba atalipa mume? tushirikiane kipato kwa maslahi ya familia na lile unaloweza afford mwenyewe we tumia hela yako....kama ni kukuonyesha moyo wake ulivyo atakuonyesha tu kwa kukupa au kukununulia vitu mara kwa mara au kukupeleka sehemu utakayofurahia.....kupewa nauli na vinginevyo its not a guarantee kuwa unatunzwa.....ila nahisi ndani wanaume wenye wanawake wenye hela lakini matumizi hayaeleweki waga wana hofu wakiondoka wao hapa duniani kama wanawake wao wataweza mudu familia.....duh!!