kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
1. Baby face
2. Alisema atavunja mikataba ya madini na kuipitia upya.
3. Alisema ata deal na rushwa nene nene.
4. Reli mpya ya kati
5. Jina lake Jk lilidhaniwa angefanana kiutendaji na Jk wa butiama
6. Chama kikuu cha upinzani enzi hizo (CUF) kilikuwa kimepoteza dira
7. Alitudanganya eti ni kijana.
8. Alionekana mtu wa watu (simple) mengne mtaongezea.
...sisi alitudanganya kuwa atatujengea barabara yetu, iwe ya lami ndani ya siku 100' tukimchagua! lakini mpaka sasa amebakiza miezi michache kuondoka ikulu' bado barabara hiyo iko vilevile! "najutia kura yangu kumpigia JK"