nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Tanzania ina watu milioni 42 na raisi amechaguliwa na watu milioni 5 ambao ni sawa na asilimia 12% ya watanzania wote.
Chama cha mapinduzi kina wanachama milioni 5 kwa nchi nzima.Kimahesabu inaonesha kuwa Rahisi(Simple) kachaguliwa na wanachama wote wa Chama Cha Mafisadi(CCM)ambacho kina wanachama milioni 5.
Kwa hiyo huyu ni rahisi wa CCM na sio wa watanzania.Nawasilisha hoja
Chama cha mapinduzi kina wanachama milioni 5 kwa nchi nzima.Kimahesabu inaonesha kuwa Rahisi(Simple) kachaguliwa na wanachama wote wa Chama Cha Mafisadi(CCM)ambacho kina wanachama milioni 5.
Kwa hiyo huyu ni rahisi wa CCM na sio wa watanzania.Nawasilisha hoja