Cherish
New Member
- Jan 18, 2012
- 3
- 0
Habar wapenz, jaman nina mpenzi tena tuna miaka 4,ambaye kwa wazaz wangu anafahamika na kwe2 pia anafahamika, umezuka ugomvi bila sababu eti anataka password za email yangu kwa nguvu kwa lazima, nimemwambia nikiamua nitampa,lakn kwake halielewek,imefikia wakat sasa ametamka kwa mdomo wake km cmpi paswrd hapigi cmu kwangu wala kupokea cmu yangu, na hv karibun kuna mwanamke ana uhusiano nae,.. Sasa ugomvi huu ni paswrd au sababu ya kuondokea? Na je pasword ni sabab ya msing kweli kugombana na m2,?