Vinci
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 2,638
- 668
Kuitaka password yako kwa nguvu ni moja ya kigezo cha kukutafutia sababu ili mshindwane
Kutokana na maelezo yako, mwanamke mwingine na amegundua unalifahamu hilo, hivyo nae amehisi umeshapata mwanaume mwingine na mawasiliano yanafanyika kwenye emails. Jambo la msingi muulize taratibu kisa cha kuitaka password ghafla ni nini? Je yeye yuko tayari kukupatia ya kwake?....yeye akitumia vitisho vya kukata mawasiliano ili umpe hiyo password kubaliana na maamuzi yake.
Kutokana na maelezo yako, mwanamke mwingine na amegundua unalifahamu hilo, hivyo nae amehisi umeshapata mwanaume mwingine na mawasiliano yanafanyika kwenye emails. Jambo la msingi muulize taratibu kisa cha kuitaka password ghafla ni nini? Je yeye yuko tayari kukupatia ya kwake?....yeye akitumia vitisho vya kukata mawasiliano ili umpe hiyo password kubaliana na maamuzi yake.