Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Mimi kilichokuwa kinanikera ni kumuona Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji mstaafu Lewis Makame alivyokuwa akitangaza matokeo ya kura za Urais Jakaya Kikwete anaendelea kuongoza....Endeleza na wewe yaliyokukera