M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,089
Mh! Wangu tumeachana tangu krismas,nimeishi naye miezi minne tu.
Aliniambia hivi
wewe ni mwanaume suruali hujiwezi kifedha afu huna hadhi ya kuwa mume wangu,acha wenye nazo wafaidi matunda yao,akaondoka kwenda kutembea tangu saa moja jioni mpaka saa saba usiku,nikamutimua mwezi huu amejaribu kuniomba msamaha,nilitoa na panga.
Aliniambia hivi
wewe ni mwanaume suruali hujiwezi kifedha afu huna hadhi ya kuwa mume wangu,acha wenye nazo wafaidi matunda yao,akaondoka kwenda kutembea tangu saa moja jioni mpaka saa saba usiku,nikamutimua mwezi huu amejaribu kuniomba msamaha,nilitoa na panga.