Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Mh! Wangu tumeachana tangu krismas,nimeishi naye miezi minne tu.
Aliniambia hivi
wewe ni mwanaume suruali hujiwezi kifedha afu huna hadhi ya kuwa mume wangu,acha wenye nazo wafaidi matunda yao,akaondoka kwenda kutembea tangu saa moja jioni mpaka saa saba usiku,nikamutimua mwezi huu amejaribu kuniomba msamaha,nilitoa na panga.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
baada ya kua kwny mahusiano kwa miaka mi4, aliniacha kwa sms t tu eti ''mi na ww basi'' ilikua ucku wa manane, nlikua macho so nliiona ile sms, ckumjibu kamwe..cha ajabu baada ya wiki akaanza kuntafuta, yan hapo ndo alinjua mi nan, hadi leo hana hamu na mm, kaoa lkn anansumbua..nlichomwambia muheshim mke wako kaka, mm co type yako tena
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nakumbuka aliniambia naomba uniache kwani tayari nishapata mpenzi mwingine.
Kila nikifikiria nilimkosea wapi sijui!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
'deo najua nitakuwa mbali na wewe na wanaume hamuwezi vumilia,kama unaweza tafuta msichana mzuri kuliko mimi akuliwaze,ila usinsahau na nikirudi rudisha mapenzi kwangu,nakupenda sitokusaliti'hata hamu ya kuchepuka sina.i love u my mariamu!

Nouma sana hii!
 
baada ya kua kwny mahusiano kwa miaka mi4, aliniacha kwa sms t tu eti ''mi na ww basi'' ilikua ucku wa manane, nlikua macho so nliiona ile sms, ckumjibu kamwe..cha ajabu baada ya wiki akaanza kuntafuta, yan hapo ndo alinjua mi nan, hadi leo hana hamu na mm, kaoa lkn anansumbua..nlichomwambia muheshim mke wako kaka, mm co type yako tena

Umenikumbusha 2005 nilipigiwa simu saa saba usiku "Naomba tuachane kwa amani" Nilibabaika sana usiku ulikuwa mrefu sana
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sito sahau siku niliyompigia simu gal wangu
na kuniambia maneno haya ''usinisumbue niko na mmewangu tumepumzika''

sikuhiyo mishipa ya kichwa ilitoka,mashavu na pua yalikuwa mekundu sana nikifikiria cost nilizoingia kuajili ya huyo gal#
 
aisee! sijui ns mke wangu anadukuduku na mimi, unajua nikilewa nasema mengi kweli afu huwa sikumbuki zaidi ya kuambiwa nimesema yote yasiyoitajika afu anacheka anaendelea na mengine. ACHA NIJIPE MOYO.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
"Nitafute ukishazipata hela"hapo ni baada ya kunichuna mpaka nikabakiwa na suruali tu.mpaka leo sijamtafuta, ni miezi3 ishapita na nilivyokua najipa moyo kwamba nimepata mke mrembo, kuumbe she is a gold digger.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mimi nilivyomaliza kumgegeda akaniambia nimemchafua tu wakati mwanaume nimejipinda kisawasawa

kweli kuna mambo dunia hii bax mm nliambiwa ctaki uhusiano na wew kuanzia leo na uspende kunfuatilia fuatilia,,, nliumia kchz yan nkajhc c mm kwa jnc nlvompenda
 
  • Thanks
Reactions: SDG
1. nimemaliza tu kum do akaanza kulia nikahamaki nini tatizo, what have I done wrong? Akaniambia "i know you have got what you wanted, na utaniacha" Dah it touched me and I proved her wrong, yeye ndio akaja kucheat!

2. Huyu mwingine ilinibidi nicheke sana. Nilimpelekea moto akacum then nikawa naendelea hehehe 5 mins into the game ananipiga na kulia "darling naomba usimfanye hivi mtu mwingine pleeeease nyamgluu"
Hahahaha. Game ikasimama maana nilicheka sana kuona demu anawivu kiasi kile!
Kuwa makini yaani hapo namba 2 mwenyewe ukajiona kidume haswa! Angalia kuna wanawake ni ma-pro kwenye haya mambo anaweza kuwa anakuibia mchana kweupe.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom