Ni nchi gani za kiarabu zinasaidia bajeti za nchi masikini

Nchi yenu si mnashabikia kuto kujiunga na OIC sasa haya maswali ya nini?
Somalia, ni mwanachama wa hiyo OIC je wamesaidiwa nini?
Hawa waarabu wao husaidia tende na ubwabwa pia hujenga misikiti kando kando mwa barabara kuu na kusapoti ugaidi.
 
Hahahaaaaaa wadanganyika munawaza kupata msaada tuu kikwete kakuambienu ukila cha mwenZako sharti na chako kiliwe wazungu wanakupeni msaada wao wanachota maalmasi na madhahabu nyinyi mumebaki flani hatusaidii jikazeni mbumbumbu nyie
 
Hawa jamaa masharti yao magumu
AISAIDIE AFRICA KIPESA WAKATI KUNA WAKRISTO? Thubutu mwarabu kumusaidia mkristo! Hawa jamaa ni maadui wa kristo kushinda hata vita baridi kt USA na USSR!
Hawa waarabu wana chuki mbaya sana na wakristo kushinda hata uhasama wa paka na panya. Leo hii nashangaa sana kuona raisi wetu eti anenda Oman kutafuta ushirikiano wa kilimo? Hii haiingii akirini kabisaaa! Wao husaidia Boko Haram, AL Shabab na Uamsho tuu ili waiharibu africa halafu wao waje wakalie ardhi yetu.

wanapenda sana kufanya investment Ulaya na wakija huku africa hutaka sisi tuwe na chuki na Ulaya , wewe chunguza tuu.Misri mpaka leo anfaidika sana na ushirikiano wake na Ulaya, Israel na USA, lakini hataki kuona Tanzania in uhusiano huo huo na Israel au USA. MImi ndio maana naunga mkono siku zote ubabe wa Israel kwa waarabu. ananipaga raha sana pale anapowalizaga kisawasawa!
 
Ndio maana nataka tanzania tujitoe humo Non Alignment movement. Maana humo yamejazana ma nchi ya Kiarabu mengi sana na kila kukicha yanataka africa iitenge Israel na kuandika matusi magezetini dhidi ya USA na Israel. Wewe ona baadhi ya watanzania wanavyo ichangamkia tenda hiyo, utadhania forward na mpira mguuni halafu kaona kipa kaanguka!
 
Hivi waislam ni dini au ni Jeshi linalosali?, mara utasikia Boko haram, Al qaeda, Al shaabab, Mrc, Uamsho nk. Boko haram na UAMSHO wamespeshorize kwenye kuchoma makanisa
 
Hi wana Jf.Nimekuwa nikijiuliza hili swali kwa wenye ufahamu naomba mnijuze cos hizi ni nchi tajiri sana lakini naona misaada yao ni misikitini tu tofauti na nchi za ulaya ambazo zinatoa misaada hata ktk nchi za kiislam
mwarabu hawezi kuisaidia africa hata siku moja ingawa wana hela nyingi kuliko China na nchi za ulaya. Dharau waliyo nayo kwa mtu mweusi inakufuru. wewe kumbuka tuu walivyo wafanya mahanisi mababu zetu waliowachukua utumwa ili wasilale na wanawake wakiarabu.

ukiona nchi za kiarabu zimetoa msaada kwako, basi ujue kuna ajynda mbaya wanataka kuipeleka non alignment au AU ya kutaka kuharibu uhusiano mzuri wa Africa na Israel au USA.
siku zote China ,USA na Ulaya wanaijenga africa lakini muarabu hufanya kila njia kuibomoa.
 
inasikitisha sana jinsi watu wanavyofikiria kwa kutumia masaburi, msaada ni nusu ya utumwa acheni ujinga bila kujali imetoka ulaya au uarabuni hawa wote at one time walikua wakoloni tena walishirikiana katika hilo yaani muarabu anakamata watumwa anamuuzia mzungu kepeleka marekani kwa ajili ya kulima, baada ya mapinduzi ya viwanda wazungu wakagundua kua ni gharama sana kuzalisha kwa kutumia nguvuwatu ndio wakaamua wawe wanabeba malighafi kupeleka viwandani kwao ulaya hapo ndio walipoamua kuvunja biashara ya utumwa ili nguvukazi ibaki hapa afrika.
jiulize wale watu weusi ulaya walitoka waoi kama sio watumwa na je liberia ilikuaje ikawa na bendera kama ya marekani mwishoe utagundua wote hawa ni wakoloni tu katika jinsi tofauti na ile tunayoijua.
misaada ya waarabu ipo mingi tu kwa kadiri ya uwezo wao ila kwakua alieanzisha thread hii alikua na mtazamo wa udini asingeweza kuona daraja la mkapa lililojengwa na kuwait fund
 
Msaada wanaotupa ni kujenga misikiti na kutusaidia kusafirisha twiga wetu kwenda uarabuni.
 
Hi wana Jf.Nimekuwa nikijiuliza hili swali kwa wenye ufahamu naomba mnijuze cos hizi ni nchi tajiri sana lakini naona misaada yao ni misikitini tu tofauti na nchi za ulaya ambazo zinatoa misaada hata ktk nchi za kiislam

  1. Kuwait Fund supported the HIPC initiative, and has been providing debt relief to countries in accordance with the conditions for eligibility. Until 2012, the Fund had provided debt relief through rescheduling of outstanding loans to 15 countries namely Benin, Burkina Faso, Cameroon, Ghana, Guinea, Guinea Bissau, Madagascar, Mali, Mauritania, Mozambique, Niger, Rwanda, Senegal, Tanzania and Uganda
  2. Construction on the Abu Dhabi funded Kidahwe – Uvinza highway in Tanzanian began on Wednesday, with the laying of the foundation stone by President Jakaya Kikwete and the UAE ambassador to Tanzania Mallalla Mubarak Al Ameri.
  3. Financed by the Abu Dhabi Fund for Development, the $75m highway project will help boost the economy of the Kigoma region in the Eastern African country.
  4. In February of this year, the Abu Dhabi Fund for Development announced that it had committed $350m over seven years to support renewable energy projects in developing countries, under the guidance of IRENA

  1. Tanzania is one of the poorest countries in the world, with an annual per capita income estimated at $440 in 2008. The

  1. United Nations 2009 Human Development Report ranks the country as 151 out of 182 countries evaluated. A combination

  • of a dependence on agriculture, exposure to drought and weak economic management make Tanzania highly vulnerable

  • to additional economic shocks.

  1. In 2009, the UAE provided AED 180.1 million ($49.0 million) in assistance to Tanzania. The largest single donor was the

  1. Abu Dhabi Fund for Development, which provided a loan of AED 169.4 million towards transport and storage. Social

  1. infrastructure and services received AED 8.3 million from a number of donors, AED 7.3 million of which came from the
Government
http://reliefweb.int/sites/reliefwe...F24D492577610023B5B2-UAE Foreign Aid 2009.pdf
KWA UFUPI UKO MISGUIDED I DONT KNOW BUT MATAIFA YA KIARABU PAMOJA NA MFUKO WA OPEC UNASAIDIA MASHIRIKA YA UN KAMA WHO, UNDP,UNHCR,UNICEF NA HAYO MASHIRIKA WANAKUJA HUKU KUTUSAIDIA
PIA MATIFA HAYA KUPITIA BADEA NA OPEC FUNDS NA KUWAIT FUND WALINUNUA MADENI YA NCHI MASIKINI IKIWEMO TANZANIA ..UKISIKIA TUMESAMEHEWA MADENI USIFIKIRI NI WEMA WA WAZUNGU
BY THE WAY USISAHAU MKAPA BRIGDE NA BARABARA IENDAYO LINDI MTWARA
HUKO SUNDAY SCHOOL KUNA KAZI KUBWA YA KUWATIA UJINGA LAKINI SISHANGAI NDIO MAANA DR WETU WAZIRI MZIMA NA SUTI YAKE ANAJINADI MBELE YA KADAMNASI ANASEMA TANZANIA NI MUUNGANO WA ZIMBABWE NA PEMBA..BULSHIT..
 
  1. kuwait fund supported the hipc initiative, and has been providing debt relief to countries in accordance with the conditions for eligibility. Until 2012, the fund had provided debt relief through rescheduling of outstanding loans to 15 countries namely benin, burkina faso, cameroon, ghana, guinea, guinea bissau, madagascar, mali, mauritania, mozambique, niger, rwanda, senegal, tanzania and uganda
  2. construction on the abu dhabi funded kidahwe – uvinza highway in tanzanian began on wednesday, with the laying of the foundation stone by president jakaya kikwete and the uae ambassador to tanzania mallalla mubarak al ameri.
  3. financed by the abu dhabi fund for development, the $75m highway project will help boost the economy of the kigoma region in the eastern african country.
  4. in february of this year, the abu dhabi fund for development announced that it had committed $350m over seven years to support renewable energy projects in developing countries, under the guidance of irena

  1. tanzania is one of the poorest countries in the world, with an annual per capita income estimated at $440 in 2008. The

  1. united nations 2009 human development report ranks the country as 151 out of 182 countries evaluated. A combination

  • of a dependence on agriculture, exposure to drought and weak economic management make tanzania highly vulnerable

  • to additional economic shocks.

  1. in 2009, the uae provided aed 180.1 million ($49.0 million) in assistance to tanzania. The largest single donor was the

  1. abu dhabi fund for development, which provided a loan of aed 169.4 million towards transport and storage. Social

  1. infrastructure and services received aed 8.3 million from a number of donors, aed 7.3 million of which came from the
government
http://reliefweb.int/sites/reliefweb.int/files/resources/70f00e0d3a2ef24d492577610023b5b2-uae%20foreign%20aid%202009.pdf
kwa ufupi uko misguided i dont know but mataifa ya kiarabu pamoja na mfuko wa opec unasaidia mashirika ya un kama who, undp,unhcr,unicef na hayo mashirika wanakuja huku kutusaidia
pia matifa haya kupitia badea na opec funds na kuwait fund walinunua madeni ya nchi masikini ikiwemo tanzania ..ukisikia tumesamehewa madeni usifikiri ni wema wa wazungu
by the way usisahau mkapa brigde na barabara iendayo lindi mtwara
huko sunday school kuna kazi kubwa ya kuwatia ujinga lakini sishangai ndio maana dr wetu waziri mzima na suti yake anajinadi mbele ya kadamnasi anasema tanzania ni muungano wa zimbabwe na pemba..bulshit..

hata ulaya walisaidiwa na usa walisaidiwa wakati huu wa mtikiso wa uchumi...tia brush kidogo akili yako ...usiambiwe kila kitu...
 
Kujitambua ni kitu adimu sana, wengine humu ndani wamesoma lakini hawajaelimika na hawajitambui...ukweli ni kuwa ktk kila dolla moja wanazotoa wazungu kama msaada wao wanapata dolla saba au zaidi...hapa Tanzania tunaambiwa kuwa tukikataa kutoa misamaha ya kodi kwa makampuni ya kimagharabi yanayotosha madini yetu then tutaweza kukusanya mapato ambayo ni sawa na jumla ya fedha zote za misaada tunayoletewa kutoka ulaya...Hivi kweli tuna akili ama ni Nazi zenye PHD?

Nchi za ASIA nyingi zimeendelea kutokana na ISLAMIC BOND , Fanyeni tafiti tuache kuropoka humu jamvini...Fungueni macho mtazame na mtambue kuwa Nchi iliyokuwa inatudai kiasi kikubwa sana ni IRAN; Walikuwa wanasupply mafuta pale kwenye refinary yetu kigamboni Tipper bila ya mashart magumu mpaka pale MABEBERU kupitia IMF via MKAPA walipoifunga eti kwa kisingizio kuwa haiendeshwi kwa faida, badala yake tukalazimishwa kuletewa mafuta kupitia makampuni yao...Kilichofuata ni historia ndugu zangu kwani kamwe hatutaweza kudhibiti mfumuko wa bei!!! Nihitimishe tu kwa kusema yet hakuna free lunch ktk dunia hii yenye kila aina ya ushindani...
 
ebu tujuze na hizo zilizopo oic uganda na wenzake zinapata misaada gani toka uarabuni?

muulize museveni kwa nini hajitoi? Museveni sio kilaza wa ujinga wa wazungu..anakula nao sahani moja
 
hivi waislam ni dini au ni jeshi linalosali?, mara utasikia boko haram, al qaeda, al shaabab, mrc, uamsho nk. Boko haram na uamsho wamespeshorize kwenye kuchoma makanisa

umesahau vatican mafia , majambazi na wauaji na waendesha madanguro...kiongozi wao papa
 
mwarabu hawezi kuisaidia africa hata siku moja ingawa wana hela nyingi kuliko China na nchi za ulaya. Dharau waliyo nayo kwa mtu mweusi inakufuru. wewe kumbuka tuu walivyo wafanya mahanisi mababu zetu waliowachukua utumwa ili wasilale na wanawake wakiarabu.

ukiona nchi za kiarabu zimetoa msaada kwako, basi ujue kuna ajynda mbaya wanataka kuipeleka non alignment au AU ya kutaka kuharibu uhusiano mzuri wa Africa na Israel au USA.
siku zote China ,USA na Ulaya wanaijenga africa lakini muarabu hufanya kila njia kuibomoa.

Elimu ya Sunday School imekujaza ujinga mwingi sana aisee...Wazungu wanatusaidia au wanafyonza rasilimali zetu?
 
aisaidie africa kipesa wakati kuna wakristo? Thubutu mwarabu kumusaidia mkristo! Hawa jamaa ni maadui wa kristo kushinda hata vita baridi kt usa na ussr!
Hawa waarabu wana chuki mbaya sana na wakristo kushinda hata uhasama wa paka na panya. Leo hii nashangaa sana kuona raisi wetu eti anenda oman kutafuta ushirikiano wa kilimo? Hii haiingii akirini kabisaaa! Wao husaidia boko haram, al shabab na uamsho tuu ili waiharibu africa halafu wao waje wakalie ardhi yetu.

Wanapenda sana kufanya investment ulaya na wakija huku africa hutaka sisi tuwe na chuki na ulaya , wewe chunguza tuu.misri mpaka leo anfaidika sana na ushirikiano wake na ulaya, israel na usa, lakini hataki kuona tanzania in uhusiano huo huo na israel au usa. Mimi ndio maana naunga mkono siku zote ubabe wa israel kwa waarabu. Ananipaga raha sana pale anapowalizaga kisawasawa!

wewe unafikiri wazungu wanalilia ukristo ? Wanakutieni dongo tu la macho ...wao wanajali yao tu...kama ukristo wao wameshautupa zamani mmebakia nyie waafrica hamjui mushike wapi sasa...kwanza walianza na sanamu la yesu walimuweka uchi na kirago kiunoni
wakasema mhhh ruhsa wasagaji kuoana
hawajatosheka masenge nao ruhsa
wakasema mhh bado tuwa kristo sasa tufanye nini wakasema sasa padri ruhsa kufungisha ndoa kanisani kati ya masenge na wasagaji
wakaona mhh bado ukristo haujatoka wakasema sasa hata masenge wanaweza kuwa mapadiri
hawo ndio wazungu walioleta huu ukristo afrika
ukristo haukuletwa hapa na mayahudi jamaa zake yesu...bali wazungu wa ulaya
kazi kwako..mabosi wapo ulaya siku wakisema hakuna msaada afrika mpaka MASENGE wafungishwe ndoa kanisani ..hapo sijui mtakamatia wapi
 
Back
Top Bottom