Ni Mh. Stephen Wassira na Haruna Masebu wameenda kutembelea watoto wao shuleni mojawapo ya nchi kusini mwa Bara Africa...
Khaaaaaaaaa!!!!!!!!!the next president mheshimiwa wassira akifanya mazoezi ya kukagua gwaride
Khaaaaaaaaa!!!!!!!!!
Wewe na nani mkuu??hehehehehe habari ndo hiyo...na lazima tutalazimisha sura yake iwekwe kwenye bank notes, chezeaaaa
Wewe na nani mkuu??
Mbona kama ni waterfront zamani ikiitwa NASACO?
naye kwani yupo na akina Zitto kwenye hizo mbio za kuelekea Chamwino (serikali inahamia Dodoma)?Ni Mh. Stephen Wassira na Haruna Masebu wameenda kutembelea watoto wao shuleni mojawapo ya nchi kusini mwa Bara Africa...