kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
udini hauna nafasi katika chadema!
walianza kuzusha chas kimkoa, ikakosa mashiko, wakaja kusingizia udini, nayo pia inaelekea kukosa mashiko.
vyovyote itavyokuwa chadema ni chaguo la kizazi kipya kinachotaka kutafuna kitu roho inapenda!! hakuna tena nafasi kwa hoja zisizo na mashiko!
ukisoma hata katiba yetu mwaaanzo hadi mwisho..haupo kabisa. walau upo ccm!!
CHADEMA Ni chama mbadala!!!
walianza kuzusha chas kimkoa, ikakosa mashiko, wakaja kusingizia udini, nayo pia inaelekea kukosa mashiko.
vyovyote itavyokuwa chadema ni chaguo la kizazi kipya kinachotaka kutafuna kitu roho inapenda!! hakuna tena nafasi kwa hoja zisizo na mashiko!
ukisoma hata katiba yetu mwaaanzo hadi mwisho..haupo kabisa. walau upo ccm!!
CHADEMA Ni chama mbadala!!!