Ni nani aliyefanya research iliyoleta maamuzi kuwa mtoto anakuwa mtu mzima akiwa na miaka 18?

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,537
4,519
Hili swali najiuliza sana...?

Ni nani anayemjua mwanadamu kiasi kwamba akatuamulia dunia nzima tukasema.... Mtu ataendelea kuwa ni mtoto mpaka afikishe umri wa miaka 18.

Kiasi kwamba ile sheria ya ndoa inaruhusu mtu mwenye umri wa miaka 15 na kuendelea anaweza kufunga ndoa...hawa wanaharakati wanaipigia kelele.

Kwa mujibu wa sheria ya ndoa na mahusiano rasmi ya UINGEREZA NA WALES inasema... HAIFAI NDOA WALA MAHUSIANO RASMI KWA KIJANA MWENYE UMRI CHINI YA MIAKA 18.

Yaani na hawa wanaharakati wanapigia kampeni sheria hizi za kipuuzi ziingie na Tanzania... YAANI MAHUSIANO YASIYO RASMI MAARUFU KAMA UBOYFRIEND NA UGIRLFRIEND PAMOJA NA ZINAA RUHSA... MPAKA NA KONDOM WANAPELEKEWA SHULENI... ILA WAKIOLEWA NI KOSA...

NI NANI ANAONGOZA HAYA...?

NI NANI ALIYEFANYA RESEARCH KUWA MWANAFUNZI ANAPIMWA COMPETENCE KWA KIPINDI CHA MWAKA MMOJA... YAANI MWAKA MMOJA DARASA MOJA...?

NANI AMETUPELEKEA KUPOTEZA UMRI WETU NAMNA HII... KIASI KWAMBA MTU MIAKA MPAKA 20 ANAITUMIA AKIWA SHULENI?
 
Hili swali najiuliza sana...?

Ni nani anayemjua mwanadamu kiasi kwamba akatuamulia dunia nzima tukasema.... Mtu ataendelea kuwa ni mtoto mpaka afikishe umri wa miaka 18.

Kiasi kwamba ile sheria ya ndoa inaruhusu mtu mwenye umri wa miaka 15 na kuendelea anaweza kufunga ndoa...hawa wanaharakati wanaipigia kelele.

Kwa mujibu wa sheria ya ndoa na mahusiano rasmi ya UINGEREZA NA WALES inasema... HAIFAI NDOA WALA MAHUSIANO RASMI KWA KIJANA MWENYE UMRI CHINI YA MIAKA 18.

Yaani na hawa wanaharakati wanapigia kampeni sheria hizi za kipuuzi ziingie na Tanzania... YAANI MAHUSIANO YASIYO RASMI MAARUFU KAMA UBOYFRIEND NA UGIRLFRIEND PAMOJA NA ZINAA RUHSA... MPAKA NA KONDOM WANAPELEKEWA SHULENI... ILA WAKIOLEWA NI KOSA...

NI NANI ANAONGOZA HAYA...?

NI NANI ALIYEFANYA RESEARCH KUWA MWANAFUNZI ANAPIMWA COMPETENCE KWA KIPINDI CHA MWAKA MMOJA... YAANI MWAKA MMOJA DARASA MOJA...?

NANI AMETUPELEKEA KUPOTEZA UMRI WETU NAMNA HII... KIASI KWAMBA MTU MIAKA MPAKA 20 ANAITUMIA AKIWA SHULENI?
Hebu funguka unataka kusema nini? Maana hapa unazunguka mbuyu tu
 
Nafkiri utu uzima uanze kujadiliwa kwa dhana tofauti tukiachana na umri pekee tutumia na vyanzo vingine Kama uelewa na tafakari.
Me nachanganyikiwa watu wazima walio hai kwa sasa wengi wao vinavyowatesa watoto na wao vinawatesa, jamii imejaa utoto utoto.😂😂
 
Nadhani inabidi tuongeze dimension nyingine ya kupima ukubwa wa mtu tukiacha kufikiria kuhusu umri pekee.
 
Sheria za tanzania tumezipokea kutoka kwa wakoloni, ila ili ni jambo ambalo lipo kwenye kila mila na tamaduni, wamasai, mathalani wanatoa majukumu kwa kila age group na kuna rika ukifika unaaminiwa na jamii nakupewa mke uanze familia. Nadhani kila mila na tamaduni zina umri wake. Serikali imeamua 18, nchi nyingine 16, nyingine 21
 
Kiumbe chochote chenye uwezo wa kuleta kiumbe kingine kinakamilisha sifa ya kuitwa kimekomaa/kimepevuka.
Kwa binadamu ni mtu mzima.

Umri wa miaka 15 mwanadamu ameshakomaa.

Huo umri WA miaka 18 ni mbinu ya kudhibiti idadi ya watu kuwa KUBWA tuu.

Kama kijana anaweza kumtungisha mimba mwanamke huyo ni mtu mzima.
Na Kama binti anaweza kupokea mimba huyo ni mtu mzima.

Hakuna kitu inaitwa mimba za utotoni, huo ni uzushi.
Mtoto hawezi kubeba Mimba.
Mtoto akishakuwa anauwezo WA kubeba mimba basi sio mtoto tena.

Haya mambo ya kudhibiti ongezeko la watu Kwa Waafrika ndio yameongeza sheria hizi.
 
Ni dhana ya yupunguza kuzaliana..mana nyie viumbe mkipewa go on mzazaliana kama panya na dunia haitanuki.

Pia umri huo angalau mtu amepata elimu stahiki..ulitaka mtu awe darasani akitoka aende kuhudumia mume au mke ama watoto.

Kama unaona 15 ni sahihi kwako anza na familia yako hakuna aliyekukataza..ila serikali itakutia ndani kwa kuharibu utaratibu...fuata utaratibu hutaki hama nchi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kiumbe chochote chenye uwezo wa kuleta kiumbe kingine kinakamilisha sifa ya kuitwa kimekomaa/kimepevuka.
Kwa binadamu ni mtu mzima.

Umri wa miaka 15 mwanadamu ameshakomaa.

Huo umri WA miaka 18 ni mbinu ya kudhibiti idadi ya watu kuwa KUBWA tuu.

Kama kijana anaweza kumtungisha mimba mwanamke huyo ni mtu mzima.
Na Kama binti anaweza kupokea mimba huyo ni mtu mzima.

Hakuna kitu inaitwa mimba za utotoni, huo ni uzushi.
Mtoto hawezi kubeba Mimba.
Mtoto akishakuwa anauwezo WA kubeba mimba basi sio mtoto tena.

Haya mambo ya kudhibiti ongezeko la watu Kwa Waafrika ndio yameongeza sheria hizi.
Hizi ndizo akili zinazohitajika... Watu wenye akili kama hawa...

Kwanini sisi tunabeba beba tu kila tunachoamrishwa bila kutafakari na kujali tamaduni zetu...?
 
Ni dhana ya yupunguza kuzaliana..mana nyie viumbe mkipewa go on mzazaliana kama panya na dunia haitanuki.

Pia umri huo angalau mtu amepata elimu stahiki..ulitaka mtu awe darasani akitoka aende kuhudumia mume au mke ama watoto.

Kama unaona 15 ni sahihi kwako anza na familia yako hakuna aliyekukataza..ila serikali itakutia ndani kwa kuharibu utaratibu...fuata utaratibu hutaki hama nchi.

#MaendeleoHayanaChama
Ni lini dunia iliwahi kujaa mpaka tukaona tupunguze kuzaliana?
 
Nature ndiyo inayoamua lini mtu anakuwa mzima. Mwanamke anaanza kuwa na uwezo wa kushika mimba akiwa na umri gani? Na vipi mwanaume?
 
Back
Top Bottom