Ni mwandishi gani wa Maisha, Mahusiano na Fasheni anayekuvutia

Flora Wingia. Nadhani alikuwa anaandika kwenye gazeti la Mzalendo kama sijakosea. Napenda sana makala zake za mahusiano.
 
Mi pia ni mwandishi mzuri, nimeandika kazi nyingi sana ila kwa lugha ya kinyumbani, Horse-language. Ngoja nitafute mkalimani nitakupostia hapa ...
 
Kwa miaka kadhaa sasa tumekuwa na magazeri na majarida mbalimbali ya mambo ya maisha. Wapo waandishi wa magazeti yale ya zamani na hata kwenye mitandao. Najaribu kutaka kuwasoma baadhi ya waandishi maarufu wa mambo haya wkani wale wa kisiasa wengi wanafahamika. Je kwenye masuala ya maishe (lifestyle), mahusiano (relationship) na hata mitindo (fashion) ni wachache wanafahamika au wanafahamika kwa kundi la watu wachache.

Naomba kwa wale wanaowasoma hawa watu (nazungumzia waandishi wa Kitanzania) tushirikishane:

a. Ni kina nani?
b. Wanaandika eneo gani
c. Wanaandikia kwenye magazeti gani?
d. Kwanini wanakuvutia?
e. Ni gazeti gani la mambo haya linalokuvutia zaidi na kwanini?
f. Na wanaandika kwa lugha gani zaidi - Ningependa wale ambao pia wako very fluent katika Kiingereza au hata Kifaransa!


MMM

KIPENGELE F: Mkuu kuna kazi unataka upige kolabo nao nin?
 
KIPENGELE F: Mkuu kuna kazi unataka upige kolabo nao nin?

yeah kwa kweli; nataka niwape nafasi maana wengi ninaowafahamu ni Wakenya na Waganda kwa nyumbani wako very limited. Sasa labda uzalendo wa Afrika ya mashariki utanifanya niwapelekee hao wengine lakini ningependa kuona tunawapa nafasi dada zetu na wenyewe to shine! siyo kwa kupita kwenye catwalks na kugeuka geuka lakini kuonesha kuwa behind the beauty there is brain!
 
yeah kwa kweli; nataka niwape nafasi maana wengi ninaowafahamu ni Wakenya na Waganda kwa nyumbani wako very limited. Sasa labda uzalendo wa Afrika ya mashariki utanifanya niwapelekee hao wengine lakini ningependa kuona tunawapa nafasi dada zetu na wenyewe to shine! siyo kwa kupita kwenye catwalks na kugeuka geuka lakini kuonesha kuwa behind the beauty there is brain!

Cheki na Lizzy. Nimeangalia blogu yake; she seems to have some talent ambayo ikiwa nurtured anaweza kuwa one of the best. And of course she is very beautiful
 
yeah kwa kweli; nataka niwape nafasi maana wengi ninaowafahamu ni Wakenya na Waganda kwa nyumbani wako very limited. Sasa labda uzalendo wa Afrika ya mashariki utanifanya niwapelekee hao wengine lakini ningependa kuona tunawapa nafasi dada zetu na wenyewe to shine! siyo kwa kupita kwenye catwalks na kugeuka geuka lakini kuonesha kuwa behind the beauty there is brain!

Nafasi yenyewe iko moja au zaidi ya moja???
Cheki na Lizzy. Nimeangalia blogu yake; she seems to have some talent ambayo ikiwa nurtured anaweza kuwa one of the best. And of course she is very beautiful

Heheheh...thanks for the props Nyandaigobeko!!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Kwangu mimi naamini hakuna kama freddy macha....huyu kanifundisha kuhusu afya yangu ,kanichekesha na story zake za kina masudi lakini kanielimisha kuhusu maisha kwa ujumla......zaamani pia nilimpenda mdogo wake ndesanjo macha hasa katika siasa akiiandikia rai mara moja moja nadhani pia ndesanjo ni mtanzania wa mwanzo san kuwa na blog...zamaaani sana..nawakubali sana hawa jamaa
 
Kwangu mimi naamini hakuna kama freddy macha....huyu kanifundisha kuhusu afya yangu ,kanichekesha na story zake za kina masudi lakini kanielimisha kuhusu maisha kwa ujumla......zaamani pia nilimpenda mdogo wake ndesanjo macha hasa katika siasa akiiandikia rai mara moja moja nadhani pia ndesanjo ni mtanzania wa mwanzo san kuwa na blog...zamaaani sana..nawakubali sana hawa jamaa

Yeah jamaa nimekumkubali. Hata Lizzy naye wamo..
 
Back
Top Bottom