pomo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 267
- 31
mambo vp wana jf, kuna jamaa yangu mmoja ameoa kama miaka nane imepita.
alikuwa anafanya kazi katika shirika flani hivi mitaa ya singida.
mnamo mwaka 2006 aliachishwa kazi na hadi hii leo bado hajapata kazi mbadala
.kinachonifanya niwe hapa jf ni kwamba leo nimeongea na mke
wake anadai kamuomba mshikaji talaka kwani hajakaa na jamaa tangu 2007 hadi leo.
akimuuliza jamaa anadai bado anatafuta kazi, na nikweli jamaa anatafuta kazi hadi hivi sasa. je muda huu
walio kaa mbali ni haki kweli wana jf. hembu nipeni dodoso kidogo
alikuwa anafanya kazi katika shirika flani hivi mitaa ya singida.
mnamo mwaka 2006 aliachishwa kazi na hadi hii leo bado hajapata kazi mbadala
.kinachonifanya niwe hapa jf ni kwamba leo nimeongea na mke
wake anadai kamuomba mshikaji talaka kwani hajakaa na jamaa tangu 2007 hadi leo.
akimuuliza jamaa anadai bado anatafuta kazi, na nikweli jamaa anatafuta kazi hadi hivi sasa. je muda huu
walio kaa mbali ni haki kweli wana jf. hembu nipeni dodoso kidogo