Hi
kuna taarifa nimeisoma michuzi kua leo TFDL wametangaza kua maziwa ya s26-gold na mengineyo ni feki yanasababisha watoto kuugua ini na figo so naomba ushauri kama kuna mtu ambaye anajua ni maziwa gani hapa kwetu ambayo kwa sasa yanafaa nikimaanisha hayajaanza kufojiwa,tafazali naomba nisaidiwe.
kuna taarifa nimeisoma michuzi kua leo TFDL wametangaza kua maziwa ya s26-gold na mengineyo ni feki yanasababisha watoto kuugua ini na figo so naomba ushauri kama kuna mtu ambaye anajua ni maziwa gani hapa kwetu ambayo kwa sasa yanafaa nikimaanisha hayajaanza kufojiwa,tafazali naomba nisaidiwe.