Real One
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 2,090
- 1,660
naombeni kujua tofauti kati ya mtu na binadamu...
Watu ni wengi binadamu ni wachache
naombeni kujua tofauti kati ya mtu na binadamu...
Watu ni wengi binadamu ni wachache
Sio bure,wewe utakuwa ni Dr Mihanjo wa Philosophy Unit
Mfano
1. Kuna nini kinaendelea baada ya kifo.?
2. Mwenyezi Mungu alitokea wapi?
Mzee wa kodrai kauka nkuvae
Ha ha haa,mzee ana mtindo wa maisha wa kipekee sana yule!