Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Ndugu,
Mimi nimeoa na nina watoto. Nimekuwa nikisikia mara kwa mara kutoka kwa wake wa kaka zangu wanashitakia kwangu kuwa kaka zangu hawafahamishi wake zao juu ya mali zote wanazomilki, deals zao na business contacts.
Hoja wanayoileta ni kuwa pindi wanaume wao watakapo kufa wao na watoto watapata shida!
Hivi karibuni na mimi nimeanza kupigiwa makelele haya haya.
Ninachojiuliza kwa nini hawa wanawake wanadhani wanaume ndio watakufa kwanza wawaache wake na watoto? Nadhani hata nyinyi ndugu mmewahi kusikia hili..
Je kuna ukweli wowote? Kuna takwimu zozote za kuthibitisha hili? Au ni janja yao tu kudai maslahi?
Tafadhali saidia mimi
Mimi nimeoa na nina watoto. Nimekuwa nikisikia mara kwa mara kutoka kwa wake wa kaka zangu wanashitakia kwangu kuwa kaka zangu hawafahamishi wake zao juu ya mali zote wanazomilki, deals zao na business contacts.
Hoja wanayoileta ni kuwa pindi wanaume wao watakapo kufa wao na watoto watapata shida!
Hivi karibuni na mimi nimeanza kupigiwa makelele haya haya.
Ninachojiuliza kwa nini hawa wanawake wanadhani wanaume ndio watakufa kwanza wawaache wake na watoto? Nadhani hata nyinyi ndugu mmewahi kusikia hili..
Je kuna ukweli wowote? Kuna takwimu zozote za kuthibitisha hili? Au ni janja yao tu kudai maslahi?
Tafadhali saidia mimi