Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
..MOD naomba hata kama hii mada itabidi kuiunganisha ikae kwa muda......
wadau lengo la kuiweka hii thread tofauti kidogo na thread mama ..ni kuchokoza mada....
taarifa tunazopata kutoka kwa vyanzo mbali mbali juu ya kurudishwa kwa pesa za EPA ni tata....watu wengi waelewa wamefikia kuamini kuwa hakuna pesa ya EPA iliyorudishwa ..na KUWA hili jambo linafanywa kisiasa tu ili kufunika kombe ..mwanaharamu apite....
naomba kutoa hoja kuwa vitengo vyote vya JF viingie kazini ili kuchunguza kama kuna ukweli wa hizi fedha kurudishwa..kwani zaidi ya muheshimiwa rais kututaka tuamini tu eti kwa kuwa kuna mabwana tunawaona wanatembea mjinii wamechika [hata kama wanajifanyisha]..haiingii akilini....mashujaa hapa jf walimudu kubaini fedha zilivyochukuliwa ...namba za hundi..makampuni..tarehe na kila kitu....SASA TUNAOMBA TUCHUNGUZE KAMA PESA ZIMERUDI ZIMERUDI KWA HUNDI ZIPI? ZA MAKAMPUNI GANI??..ZIMEINGIA AKAUNTI IPI?....ets....itabainika tu.,......!!!..kwani haya yote yanafichwa......siamini kama pesa zilitumika kugharamia shughuli za wanamtandao...zitarudije.....sioni mantiki ya kibiasharaa ...zaidi ya kuleta KANUNI YA IMANI ...kama baadhi ya dini zinapoubiri kuwa YESU atarudi tena ...NA wote wanaubiri juu ya kiama...inabidi kuamini tu..hakuna swali....SASA JE WATANZANIA TUNATAKA KUAMINI TU HIVI HIVI KUWA PESA ZIMERUDI BILA USHAHIDI WA KUELEWEKA ...HILI HALIWEZEKANI!!!
NAPENDA KUTOA ANGALIZO KWA KIKWETE..KUWA KAMA WANANCHI WANADANGANYWA PESA ZIMERUDI ..IPO SIKU ITAJULIKANA UKWELI......NA TUTATAKA KUJUA TENA KAMA ZIMERUDI...HAO WAKULIMA ALIOWAKOPESHA WAKO WAPI..........MASHAMBA YAO YAKO WAPI..nak...naamini kuwa kama hazijarudi na wanajifanya wanapeleka kukopesha wakulima ..itabidi wakopeshe wakulima hewa ...kwa kuwa kimsingi PESA HAKUNA...zaidi ya HEKAYA ZA ABUNUWASI au KUFIKIRIKA.....
nina mashaka makubwa.....
wadau lengo la kuiweka hii thread tofauti kidogo na thread mama ..ni kuchokoza mada....
taarifa tunazopata kutoka kwa vyanzo mbali mbali juu ya kurudishwa kwa pesa za EPA ni tata....watu wengi waelewa wamefikia kuamini kuwa hakuna pesa ya EPA iliyorudishwa ..na KUWA hili jambo linafanywa kisiasa tu ili kufunika kombe ..mwanaharamu apite....
naomba kutoa hoja kuwa vitengo vyote vya JF viingie kazini ili kuchunguza kama kuna ukweli wa hizi fedha kurudishwa..kwani zaidi ya muheshimiwa rais kututaka tuamini tu eti kwa kuwa kuna mabwana tunawaona wanatembea mjinii wamechika [hata kama wanajifanyisha]..haiingii akilini....mashujaa hapa jf walimudu kubaini fedha zilivyochukuliwa ...namba za hundi..makampuni..tarehe na kila kitu....SASA TUNAOMBA TUCHUNGUZE KAMA PESA ZIMERUDI ZIMERUDI KWA HUNDI ZIPI? ZA MAKAMPUNI GANI??..ZIMEINGIA AKAUNTI IPI?....ets....itabainika tu.,......!!!..kwani haya yote yanafichwa......siamini kama pesa zilitumika kugharamia shughuli za wanamtandao...zitarudije.....sioni mantiki ya kibiasharaa ...zaidi ya kuleta KANUNI YA IMANI ...kama baadhi ya dini zinapoubiri kuwa YESU atarudi tena ...NA wote wanaubiri juu ya kiama...inabidi kuamini tu..hakuna swali....SASA JE WATANZANIA TUNATAKA KUAMINI TU HIVI HIVI KUWA PESA ZIMERUDI BILA USHAHIDI WA KUELEWEKA ...HILI HALIWEZEKANI!!!
NAPENDA KUTOA ANGALIZO KWA KIKWETE..KUWA KAMA WANANCHI WANADANGANYWA PESA ZIMERUDI ..IPO SIKU ITAJULIKANA UKWELI......NA TUTATAKA KUJUA TENA KAMA ZIMERUDI...HAO WAKULIMA ALIOWAKOPESHA WAKO WAPI..........MASHAMBA YAO YAKO WAPI..nak...naamini kuwa kama hazijarudi na wanajifanya wanapeleka kukopesha wakulima ..itabidi wakopeshe wakulima hewa ...kwa kuwa kimsingi PESA HAKUNA...zaidi ya HEKAYA ZA ABUNUWASI au KUFIKIRIKA.....
nina mashaka makubwa.....