Cosmas Lawrence
Member
- Jan 22, 2012
- 27
- 0
Hi wana jf community? Kuna wengi 2mekua 2kisema ooh mapenzi haya chagui, nani alieleta hili neno ameharibu wa2 kweli. Kwasababu halina ukweli wowote. Utamsikia m2 akisema"Mimi siwezi kua na uhusiano na mwanamke mweusi hata siku 1" na kweli hutamuona aki fall in love na mwanamke wa aina hiyo. Mwengine nae atanena "mimi lazima nioe m/mke mwenye makalio makubwa, siwezi kuoa basmat"na wengine wata sema ya kwao. Je mapenzi yanachagua au hayachagui kama tusemavyo? Kazi kwenu wana jf pikeni hoja zenu