Acha ushirikina wewe haina maana yoyote ni mnyama tu yule kama wengine
Watu wataendelea kubisha tu hata wingu zito likitanda juu na huku kuna upepo mtulivu hawatakubali kwamba kuna mvua kubwa yaja kunyesha.
Ninyi ndio mnaorudisha nyuma tafiti ambazo zinasaidia kujenga na kuimarisha mfumo wa kusoma ishara za nyakati.
Hata biblia Nabii Issa alisema mtakapoona ishara za taifa moja kulishambulia jingine, matetemeko ya ardhi na mengineyo ujue mwisho wa dunia unakaribia.
Hii ina maanisha kuna mambo mengi kadhaa na matukio kadhaa ambayo huashiria kitu fulani kwa wajuzi wa kusoma. Unakumbuka Joseph alivyomtabiria Farao Misri miaka 7 ya neema na itafuata miaka 7 ya dhiki na njaa? Yalitokea, angepuuzi unabii huo angejua kuzaliwa.
labda kwa kuwa kuna kambi ya jeshi usiulize kama kuna kambi ya jeshi ndio nini? jibu unalo kaa kimyaUmeuliza swali kama ataonekana makongo au ni taarifa kaonekana makongo
Kwa hivyo kaka kuona ni nabii kama Musa? kama kweli anatabiri vitu kwanini asichukuliwe ahifadhiwe awe anatabiri kila siku?
Watu wataendelea kubisha tu hata wingu zito likitanda juu na huku kuna upepo mtulivu hawatakubali kwamba kuna mvua kubwa yaja kunyesha.
Ninyi ndio mnaorudisha nyuma tafiti ambazo zinasaidia kujenga na kuimarisha mfumo wa kusoma ishara za nyakati.
Hata biblia Nabii Issa alisema mtakapoona ishara za taifa moja kulishambulia jingine, matetemeko ya ardhi na mengineyo ujue mwisho wa dunia unakaribia.
Hii ina maanisha kuna mambo mengi kadhaa na matukio kadhaa ambayo huashiria kitu fulani kwa wajuzi wa kusoma. Unakumbuka Joseph alivyomtabiria Farao Misri miaka 7 ya neema na itafuata miaka 7 ya dhiki na njaa? Yalitokea, angepuuzi unabii huo angejua kuzaliwa.
huyu mdudu ni muhimu sana na kuonekana kwake ni mara 1 ktk miaka zaidi ya 10, huwa anatumika kama mtabiri i.e anawekewa unga, bunduki etc akichagua bunduki ujue hali ya amani itakuwa tete na akichagua unga basi ujue kuna njaa kubwa inakuja,,, na pia kipande cha gamba lake kilikuwa kikiuzwa kwa bei mbaya sana kikiaminika kumletea mtu bahati anapotembea nacho, biashara, siasa etc
Ushirikina na kutafuta majibu rahisi kwa maswali magumu tu.
Inaelekea huyu mdudu ana uelewa mkubwa kuliko binadamu right?