Kama mtu ana miliki hata nchi nzima peke yake tatizo ni nini kama amevipata kwa njia halali na analipa kodi stahili ? kiongozi sio raia kama wewe ? hana haki ya kumiliki mali anazotaka yeye ambazo amezitengeneza kwa nguvu yake yeye mwenyewe ? tena wengi wamepata mali hizo kabla ya kuwa viongozi wa sehemu mbalimbali nchini haswa katika serikali .
Sasa ikiwa anaimiliki ndio iweje? Kwani dhambi mTanzania kumiliki Hoteli?
Ka-Tibaigana ikiwa kanamiliki Hoteli Mkuranga, iwe ni ajabu kwa ji-JMK?
SI WEWE TU!Kila uchao yanaibuka, jana nimesikia watu wakidai kuwa hata ile Hoteli ya Mwanza ya Malaika inamilikiwa na JK, na kwamba amemkabidhi mtanzania mwenye asili ya Kiasia kusimamia. Wenye data tupeni ukweli hapa JF.
Sasa ikiwa anaimiliki ndio iweje? Kwani dhambi mTanzania kumiliki Hoteli?
Ka-Tibaigana ikiwa kanamiliki Hoteli Mkuranga, iwe ni ajabu kwa ji-JMK?
Kila uchao yanaibuka, jana nimesikia watu wakidai kuwa hata ile Hoteli ya Mwanza ya Malaika inamilikiwa na JK, na kwamba amemkabidhi mtanzania mwenye asili ya Kiasia kusimamia. Wenye data tupeni ukweli hapa JF.
Kila uchao yanaibuka, jana nimesikia watu wakidai kuwa hata ile Hoteli ya Mwanza ya Malaika inamilikiwa na JK, na kwamba amemkabidhi mtanzania mwenye asili ya Kiasia kusimamia. Wenye data tupeni ukweli hapa JF.