TRA inabidi wawe makini maana wakijiingiza katika hizi politiks za bei rahisi waweza kunaswa hukohuko na wasitoke tena ....au ndiyo kisa cha ukusanyaji mapato kupungua!? Wakwepa kodi wengi wajulikana, wasipoteze muda na gharama kwa CDM badala yake wabuni vyanzo vipya ili kodi zipungue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.