Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Ukiona mtoto wa kiume analilia kwamba yeye ni ghali basi washamharibu
Ukiona mwanamme anajitapa ametembea na jamii flani basi hamna kitu hapo, yani umekuja kujidhalilisha tu
Ukiona mtoto wa kiume analilia kwamba yeye ni ghali basi washamharibu
hata ingekuwepo ingekusaidia nini mwarabu wa tandikaHuna point
naona blaza umeumia sana au we ndo wale warabu koko wanaowaona waarabu wa omani kama miungu yaoUkiona mwanamme anajitapa ametembea na jamii flani basi hamna kitu hapo, yani umekuja kujidhalilisha tu
hata ingekuwepo ingekusaidia nini mwarabu wa tandika
naona blaza umeumia sana au we ndo wale warabu koko wanaowaona waarabu wa omani kama miungu yao
kwani hilo jina ni la ami nani??Halafu unajiita Naby Keita, bora ujiite majina yenu ya kinaswara/kiyahudi amos, frank au paulo😁
mambo ya mwarabu ghali wanayo warabu koko wetu wa bongo ila wao wenyewe hizo mambo hawana au kisa wanawatenga wakina pangu pakavu tia mchuzi ndo maana mnawaona ghali...........we piga milemba na mikanzu kama yote ila ukifika kwa habibi dubai anakuona kijakazi wa mtumwaLabda upande wenu huko kwa mayahudi/westerns
mambo ya mwarabu ghali wanayo warabu koko wetu wa bongo ila wao wenyewe hizo mambo hawana au kisa wanawatenga wakina pangu pakavu tia mchuzi ndo maana mnawaona ghali...........we piga milemba na mikanzu kama yote ila ukifika kwa habibi dubai anakuona kijakazi wa mtumwa
mie sijui acha tungoje wabongoKwa nini wa Bongo wengi hawataki Mchaga awe Raisi ??
mie sijui acha tungoje wabongo
mambo ya mwarabu ghali wanayo warabu koko wetu wa bongo ila wao wenyewe hizo mambo hawana au kisa wanawatenga wakina pangu pakavu tia mchuzi ndo maana mnawaona ghali...........we piga milemba na mikanzu kama yote ila ukifika kwa habibi dubai anakuona kijakazi wa mtumwa
Upo sahihi kabisa kakaWaafrika wengi wabaguzi sana tena sana.
Tena unaguzi wao ni mbaya kuliko hata hao waarabu.
Ki dunia sababu kubwa inayompa mtu kiburi ni uwezo wake kifedha au elimu yake au Cheo chake. Lkn Africa mtu maskini, elimu ya maana hana, na wala cheo cha maana hana lkn Kiburi alichonacho anamzidi Firauni.
Utakuta mtu anafanya kazi serikalini kazi ya kawaida tu lkn Ana jeuri kuliko waziri.
Utaskia Anatoa kauli za ubaguzi ukimtazama sura ka jiko.
Kibri ni dhambi mbaya sana na Wengi watatupwa Jahannam kwa kibri.
Juu ya yote Hakuna nchi Duniani ukakosa wenye Ubaguzi wa Rangi, Utaifa au Dini.
Hii ni tabia mbaya illiopo popote na itaendelea kuwepo mpk siku ya malipo.
Mungu atulinde na tabia hii mbaya na Dhambi hii ya kuangamiza.
kwani hilo jina ni la ami nani??
Waafrika wengi wabaguzi sana tena sana.
Tena unaguzi wao ni mbaya kuliko hata hao waarabu.
Ki dunia sababu kubwa inayompa mtu kiburi ni uwezo wake kifedha au elimu yake au Cheo chake. Lkn Africa mtu maskini, elimu ya maana hana, na wala cheo cha maana hana lkn Kiburi alichonacho anamzidi Firauni.
Utakuta mtu anafanya kazi serikalini kazi ya kawaida tu lkn Ana jeuri kuliko waziri.
Utaskia Anatoa kauli za ubaguzi ukimtazama sura ka jiko.
Kibri ni dhambi mbaya sana na Wengi watatupwa Jahannam kwa kibri.
Juu ya yote Hakuna nchi Duniani ukakosa wenye Ubaguzi wa Rangi, Utaifa au Dini.
Hii ni tabia mbaya illiopo popote na itaendelea kuwepo mpk siku ya malipo.
Mungu atulinde na tabia hii mbaya na Dhambi hii ya kuangamiza.
hii kauli ni ya roho mbaya sana.....tafuta hela mkuu.....asilimia kubwa hatupewi nafasi za kuwaoa sababu ni hatuna pesa za kuwahudumia ....ukiwa na hela hawakataiElimu hawana zaidi ya biashara ya mabasi, kula tende,mirungi na kuvaa kanzu lakini kichwani weupe, wazungu elimu ipo.
hadi Naby koko namjuaUnamjua naby keita?
ulijua ni ya jini?Ni mawazo yako
mie mwarabu wa dubeiWewe hutoki Tanganyika ??
mie mwarabu wa dubei
nabii aliepewa kibano pangoniMfuasi wa Nabii Tito ??