Ni kwa nini wanawake (watu wazima) wasio olewa wanamaamuzi ya kibabe?

Hapo umenipata vizuri...Nimesahau another option kuna walio lesbian, wanatembea na vibinti.

utatuambia kuwa wanawake ambao hawajaolewa 'wanatembea' na waume za watu, serengeti boys na dildo.




Kama ni mume mtarajiwa, una uhakika gani kuwa yeye sio mke mtarajiwa.
 
If you yourself din't mind why did you bother to comment in this thread at first place?

prompted by people like you, stop the stereotype.

Hujafa hujaumbika, kesho kesho kutwa utakuwa mjane (God forbid) au mtalaka hivyo utakuwa katika category ya wasioolewa.
 
Najua nyuzi kama hizi kuna watu zinawahusu direct na wana take it personal. Ila mi siogopagi kusema ukweli.

Ukisoma hii thread bila jazba mdau ameongelea wale ambao hawajawahi kuolewa maishani; si wajane wala walioachika. Fact kuwa mtu alishawahi kuolewa inamtoa kwenye huu uzi kwani huyo tayari ni wifey material...tatizo wale ambao hawajawahi kugusa kitu kinachoitwa ndoa

Wajane wengi wanaolewa tena not to say divorcees kwani wako soft hearted na wana sifa za mwanamke.


prompted by people like you, stop the stereotype.

Hujafa hujaumbika, kesho kesho kutwa utakuwa mjane (God forbid) au mtalaka hivyo utakuwa katika category ya wasioolewa.
 
Najua nyuzi kama hizi kuna watu zinawahusu direct na wana take it personal. Ila mi siogopagi kusema ukweli.

Ukisoma hii threa bila jazba mdau ameongelea wale ambao hawajawahi kuolewa maishani; si wajane wala walioachika. Fact kuwa mtu alishawahi kuolewa inamtoa kwenye huu uzi kwani huyo tayari ni wifey materal...tatizo wale ambao hawajawahi kugusa kitu kinachoitwa ndoa

Wajane wengi wanaolewa tena not to say divorcees kwani wako soft hearted na wana sifa za mwanamke.


ndio stereotype yenyewe. Stop it.
 
Si kila kitu ni stereotype my dear. Ndio maana nimekuuliza watatembea na nani au hawatembei...bado unajibu stereotype. Tupe jibu lako ambalo si stereotype. Hata hivyo kwa sisi tuliosoma human behavior kidogo strereotype si kitu kibaya kinasaidia kupunguza muda wa kutafuta facts kwani majibu 90% unayo tayari kichwani.

ndio stereotype yenyewe. Stop it.
 
Hizi ni akili za vilaza wanaoamini kuwa mwanamke hajakamilika mpaka awe na mume, Bikira Maria mbona alikuwa single na katika wanawake waliokuwa bora ulimwenguni. Hii fikira za kuweka kuwa mwanamke lazima amilikiwe zitoeni, mambo yamebadilika, wanawake wa siku hizi hawataki kuolewa for the sake of it. Hakuna ulazima wa ndoa kama hakuna mwenye uelekeo.


Hayo maamuzi ya kibabe ni kuwa wanakuwa na akili ya kukomaa, bila uoga, huhitaji mwanaume wa kushauri full independent sasa atake mwanaume wa nini, aongeze pasua kichwa zaidi.
 
Hizi ni akili za vilaza wanaoamini kuwa mwanamke hajakamilika mpaka awe na mume, Bikira Maria mbona alikuwa single na katika wanawake waliokuwa bora ulimwenguni. Hii fikira za kuweka kuwa mwanamke lazima amilikiwe zitoeni, mambo yamebadilika, wanawake wa siku hizi hawataki kuolewa for the sake of it. Hakuna ulazima wa ndoa kama hakuna mwenye uelekeo.


Hayo maamuzi ya kibabe ni kuwa wanakuwa na akili ya kukomaa, bila uoga, huhitaji mwanaume wa kushauri full independent sasa atake mwanaume wa nini, aongeze pasua kichwa zaidi.

bikra maria alikuwa na mchumba wewe hata baada ya kuzaliwa kwe JESUS maisha yandoa yake yaliendelea na akazaa watoto kwa kupata mimb ya mwanaume. mwanamke ulitoka ubavuni mwa mwanaume bila mwanaume ur nothng madame na kama MUNGU angependa uishi single angekuumba mwanaume wala asingeweka tumbo la uzazi kwako na kuvuja damu kila mwezi fikiria tho u in pathetic dada
 
depression-men-women-FINAL.jpg
 
bikra maria alikuwa na mchumba wewe hata baada ya kuzaliwa kwe JESUS maisha yandoa yake yaliendelea na akazaa watoto kwa kupata mimb ya mwanaume. mwanamke ulitoka ubavuni mwa mwanaume bila mwanaume ur nothng madame na kama MUNGU angependa uishi single angekuumba mwanaume wala asingeweka tumbo la uzazi kwako na kuvuja damu kila mwezi fikiria tho u in pathetic dada

You proove my doubt right kama vilaza bado wako wengi, maana hata historia ya Bikra Maria huijui
 
Mwanamke yeyote wa heshima lazima awe na mume..ukiona mwanamke hajaolewa ujue ana tatizo na hilo analihamishia kwenye jamii anakua shida kweli kweli

Kuolewa siyo heshima ni tukio pia kutooa siyo kukosa heshima ama kutokuwa rijali
 
You proove my doubt right kama vilaza bado wako wengi, maana hata historia ya Bikra Maria huijui
kama wewe unaifahamu historia ya bikra maria umeisaidia vipi jamii,BIKRA MARIA kaacha hstoria dunian vizaz na vzaz vinatambua uwepo wake wewe unaejifanansha nae nin utaacha ni certficate madam.jitahdi uhame ukoo dada
 
Back
Top Bottom