Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Huwa nashuhudia gwaride la sherehe za kumbukumbu ya muungano likikaguliwa na rais wa jamhuri ya muungano pekee wakati muungano una serikali mbili? Kwa nini rais wa Zanzibar naye asiwe anapewa kanafasi japo ka kukagua gwaride la mgambo tu?