Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
- Thread starter
- #41
Katiba ya Zenj au Muungano?
Ngoja tusubiri mchakato wa katiba mpya, huenda nao wataomba rais wao atambuliwe kama amiri jeshi mkuu kwa vikosi vilivyopo huko.
Katiba ya Zenj au Muungano?
rais wa zanzibar anashinda kwa kura laki nne ni sawa na kura alizopata mmbunge wa Ilemela
Rais wa Zanzibar ni kama Mbunge wa Bara
Rais wa Zanzibar ni kama Mbunge wa Bara
Ilikuwa enzi ya Jumbe na Nyerere sio sasa. Wakati uleeeeeee! Enzi mfumo ......!
Rais wa Zanzibar yupo na tunamuona, Jee Rais wa Tanganyika yuko wapi nae japo ahudhurie tu sherehe?
Buchanan hilo ndiyo jibu lenyewe kwa wale wanao jifanya wana uelewa mdogo, ili hali ktu kiko wazi kabisa.
sawa, vua chupiNaomba nifundishwe jinsi ya kutumia mtandao wa tweeter
Ni suala la itifaki tu kwa mujibu wa katiba iliyopo sasa.
Msaidizi wa rais wa JMT ni Makamo wa Raisi, kikatiba anapokuwa hawezi ama kwa ugonjwa au safarini (zisizokwisha kwa huyu wa sasa), Makamo wa Rais ndiye anayefanya kazi zake. Kwa hivyo, kama kuna mtu mbadala wa kukagua gwaride la Muungano, huyu anakuwa makamo wake, sio raisi wa ZNZ wala Waziri Mkuu.
Zamani, wakati nafasi ya makamo wa kwanza wa raisi alipokuwa raisi wa Zanzibar, hilo liliwezekana; lakini kwa katiba ya sasa, raisi wa ZNZ hana uwezo huo.
Mkuu Jumakidogo,
Huu mchango wa MAMMAMIA unaeleza vizuri kwa nini Rais wa Zanzibar hakagui Gwaride la Muungano.
Mbali na hilo yale mabadiliko ya kumuondoa Rais wa Zanzibar katika Umakamo wa Rais mimi nayachukulia kuwa ni utapeli, au ndio baba na mama wa kero za Muungano.
Unapoondoa kiungo kikuu cha Muungano(nusu) wa nchi mbili na kumfanya kuwa waziri asiye na wizara maalum inakuwa sio utapeli tu bali ni upimbi pia.
Muungano nusu kwa sababu Muungano ni wa baadhi ya mambo tu ambayo yanaitwa mambo ya muungano.
We wacha tu...magamba wamelikoroga sasa itawabidi walinywe tu. Tunaposikia wazenj wanataka kura ya maoni kuhusu Muungano kabla ya uandikaji wa Katiba mpya ili kuamua kama wanataka muungano na aina ya muungano wanaoutaka. Magamba wanajifanya kuziba masikio.
Magamba bana...ujanja mingi, mbele ............. Interesting scenerio!
Naomba nifundishwe jinsi ya kutumia mtandao wa tweeter
Ni suala la itifaki tu kwa mujibu wa katiba iliyopo sasa.
Msaidizi wa rais wa JMT ni Makamo wa Raisi, kikatiba anapokuwa hawezi ama kwa ugonjwa au safarini (zisizokwisha kwa huyu wa sasa), Makamo wa Rais ndiye anayefanya kazi zake. Kwa hivyo, kama kuna mtu mbadala wa kukagua gwaride la Muungano, huyu anakuwa makamo wake, sio raisi wa ZNZ wala Waziri Mkuu.
Zamani, wakati nafasi ya makamo wa kwanza wa raisi alipokuwa raisi wa Zanzibar, hilo liliwezekana; lakini kwa katiba ya sasa, raisi wa ZNZ hana uwezo huo.
Huwa nashuhudia gwaride la sherehe za kumbukumbu ya muungano likikaguliwa na rais wa jamhuri ya muungano pekee wakati muungano una serikali mbili? Kwa nini rais wa Zanzibar naye asiwe anapewa kanafasi japo ka kukagua gwaride la mgambo tu?
Huwa nashuhudia gwaride la sherehe za kumbukumbu ya muungano likikaguliwa na rais wa jamhuri ya muungano pekee wakati muungano una serikali mbili? Kwa nini rais wa Zanzibar naye asiwe anapewa kanafasi japo ka kukagua gwaride la mgambo tu?