funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
ina maana Masikini Jeuri vyombo vyako ni mkono wa pili (ibadili kwa kidhungu)?Wa kwangu tulikubaliana asifanyiwe na hilo lilkuja baada ya yeye kunambaia alichokuwa anhitaji ni vyombo; baada ya harusi kulikuwa na mzungu anaondoka mie nikaongea naye na akaniuzia vyombo vyte vya ndani!
Kwa hiyo ushauri kwa maharusi wapya ni kuwa kuweni na maamuzi yenu juu ya nini mnakitaka sio kukurupuka kuiga kila kitu mtaishia kupata hasara kuliko faida!