umesomeka mkuu!UKWELI MTUPU....!nimegonga kale kabataniHivi kwa maisha ya leo unategemea eti wakati wa maandalizi ya harusi ndiyo wa kumfundisha binti habari za kitandani?? Nafikiri kwa vijana wa siku hizi wanaharibu kitanda cha ndoa kabla ya ndoa yenyewe!!! Na kwa mantiki hii huwa wanakuwa wameshafahamiana vya kutosha kwa masuala hayo ya kitandani zaidi kuliko hata tabia zao halisi??? Tuepukane na enzi zetu za ujima mtu ulikuwa huruhusiwi hata kumkaribisha mchumba nyumbani akiwa peke yake bila kusindikizwa na ndugu wa karibu na unaheshimu siku ile tukufu ya ndoa!!
Hebu jamii ibuni kitu kingine cha kuwaasa au fundisha hawa mabinti na vijana wa kiume hasa kuhusu kulinda ndoa zao maana zinavunjika mno baada ya siku chache/miezi/mwaka/miaka michache tu. Ni aibu kwao na familia zao. Mungu husika kwa malezi ya watoto wangu, wajukuu, vitukuu. vilembwe na vilembwekeze ili wadumu katika ndoa zao kama walivyodumu za mababu zetu na wazazi wao. Amen.
nilidhani ina masilahi KWAKO!
wanaenda kwa ajili ya vyombokweli lakini hizi kitchen party hazina maana kama ndo mambo haya... halafu girls wasikuhizi wanajua kilakitu sijui wanafundishwa nini...? wanawake wanakosa mambo ya maana ya kufanya ndo maana wanaanzisha hizi kitchen parties... where else will they gossip and talk dirty ... arghhhhhh
Lakini issue inarudi kwa wazazi au wanaume vipi wawaruhusu watoto wao (children) wasikilize mambo ya wakubwa... haifai kabisa...wakatazeni wake zenu na watoto wenu ku attend these kind of parties...
Hahaha! Kompyuta imekolapsi!naona leo umeme haupo kabisa kariakoo!ndio maana lojistix hapatikani
ooow my bad ... I never attend these kind of parties so I wouldnt knowwanaenda kwa ajili ya vyombo
..............Kwamba hizi shughuli maarufu kwa jina la 'SHEREHE YA JIKONI' zinazidi kuchukua sura mpya,na pengine KUPOTEZA MAANA,au mimi ndio sijui maana.Ndio maana nimeamua KUISTIPULATE ISHU HAPA!
katikati ya 'shughuli' nimesikia jana kipengele kinaitwa MADA,nikiwa katika mojawapo ya maeneo yangu ya kujidai pande za kimara.Kwa namna walivyokuwa wakimshauri bibi harusiu mtarajiwa UKWELI HAIKUWA SHEREHE YA JIKONI ambayo pendine ufahamu wangu mdogo ulinidadavulia ki vile.Mama zetu walikuwa wakijadili mambo ya CHUMBANI tena kwa kina sana,na katika sehemu ya halaiki,tena muda ulikuwa bado kabisa.
Sasa mimi nilikuwa nafikiri labda hizi sherehe zingetofautishwa siku kwa kuzingatia MAADILI,na umaana wenyewe.hii itasaidia 'wadau' wa sherehe hizo kuzitafutia muda muafaka,eneo stahili na pengine kukinusuru kizazi kinachofuata kusikiliza 'mambo ya chumbani' moja kwa moja kutoka kwenye vinywa vya wazazi wao.
Au ninakosea wadau?
mie nazichukia hizo kitchen party, nilikuwa naendaga coz ni za watu wangu wa karibu lakini ya mwisho niliyoenda na nilisema sitoenda tena kwenye hizo party, hao makungwi walikuwa wanamuambia mtarajiwa" mafiga matatu mtoto wa kike ndio yanayohitajika ndani" "vigaloni ni muhimu kwa binti kama wewe, ndoo ya maji ikimwagika then una kigaloni,kulikuwa hakuna la maana, ni matusi mtindo mmoja, kuanzia hapo nilisitisha kwenda kwenye kitu kinachoitwa kichen party! kwa upande wangu hazisaidii, ni wamama watu wazima kabisa wanayaongea hayo badala ya kumjenga binti niliona wanambomolea kabla hata hajaingia ndani, kama alivyosema hapo juu shangazi na bibi wanatosha.
Laaziz hapo umesema ukweli kabisa! Halafu cha ajabu hao watoa mada wengi wao wameachika.
Unakuta mama ana mtoa mada ana watoto watatu kila mtoto na baba yake, kashaolewa na kuachika mara sita! Sasa atamfundisha nini kizuri binti anayeingia ndani ya ndoa? Jamii yetu inabidi ibadilike sasa jamani!
mie nazichukia hizo kitchen party, nilikuwa naendaga coz ni za watu wangu wa karibu lakini ya mwisho niliyoenda na nilisema sitoenda tena kwenye hizo party, hao makungwi walikuwa wanamuambia mtarajiwa" mafiga matatu mtoto wa kike ndio yanayohitajika ndani" "vigaloni ni muhimu kwa binti kama wewe, ndoo ya maji ikimwagika then una kigaloni,kulikuwa hakuna la maana, ni matusi mtindo mmoja, kuanzia hapo nilisitisha kwenda kwenye kitu kinachoitwa kichen party! kwa upande wangu hazisaidii, ni wamama watu wazima kabisa wanayaongea hayo badala ya kumjenga binti niliona wanambomolea kabla hata hajaingia ndani, kama alivyosema hapo juu shangazi na bibi wanatosha.
..............Kwamba hizi shughuli maarufu kwa jina la 'SHEREHE YA JIKONI' zinazidi kuchukua sura mpya,na pengine KUPOTEZA MAANA,au mimi ndio sijui maana.Ndio maana nimeamua KUISTIPULATE ISHU HAPA!
katikati ya 'shughuli' nimesikia jana kipengele kinaitwa MADA,nikiwa katika mojawapo ya maeneo yangu ya kujidai pande za kimara.Kwa namna walivyokuwa wakimshauri bibi harusiu mtarajiwa UKWELI HAIKUWA SHEREHE YA JIKONI ambayo pendine ufahamu wangu mdogo ulinidadavulia ki vile.Mama zetu walikuwa wakijadili mambo ya CHUMBANI tena kwa kina sana,na katika sehemu ya halaiki,tena muda ulikuwa bado kabisa.
Sasa mimi nilikuwa nafikiri labda hizi sherehe zingetofautishwa siku kwa kuzingatia MAADILI,na umaana wenyewe.hii itasaidia 'wadau' wa sherehe hizo kuzitafutia muda muafaka,eneo stahili na pengine kukinusuru kizazi kinachofuata kusikiliza 'mambo ya chumbani' moja kwa moja kutoka kwenye vinywa vya wazazi wao.
Au ninakosea wadau?