Wana janvi nijuzeni tafadhali. Nimekuwa nikijiuliza ni kipi kiwanja kikubwa cha adhara chenye uwezo wa kukusanya umati mkubwa wa watu wakati wa matukio makubwa makubwa kama vile mikutano ya kisiasa hasa jijini Dar es Salaam? Achilia mbali viwanja vya mpira wa miguu, nataka kujua viwanja vya wazi vyenye uwezo wa kukusanya angalau watu laki moja hivi kwa wakati mmoja.
Nawasilisha.
Nawasilisha.