Mau
Senior Member
- Apr 8, 2009
- 176
- 10
Wakuu nimekuwa nikisikitishwa sana na usanii wa wasanii wa kitanzania, tumekuwa tukiwapa watu majina na sifa za kibunifu kumbe wizi mtupu hakuna ubunifu. Ninayemuongelea hapa kwa hasira ni Joti wa Orijino Komedi, alionekana mbunifu sana na bado anaendelea kujichukulia sifa zisizo zake kwa ile motion ya kushtua ambayo siku hizi wanaiita (kijotijoti)
Kwa ufuatiliaji mdogo niliofanya nimegundua kwamba kijana huyu (Joti) ameiga motion hiyo kutoka kwa katuni za Tom and Jerry zilizotengenezwa na mtaalam Fredy Quimby.
Angalia hii link hapa chini jinsi Jerry anavyoshtua kwenye motion yake hiyo halafu uniambie ubunifu wa Joti ni upi. hii imetokea kwenye catoon nyingi sana za Fredy Quimbi moja hii hapa na nyingine nitawawekea au mwenye nazo kwa haraka azishushe hapa janvini
Inaumaaaaa
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=jrTyxX9odnU[/ame]
Kwa ufuatiliaji mdogo niliofanya nimegundua kwamba kijana huyu (Joti) ameiga motion hiyo kutoka kwa katuni za Tom and Jerry zilizotengenezwa na mtaalam Fredy Quimby.
Angalia hii link hapa chini jinsi Jerry anavyoshtua kwenye motion yake hiyo halafu uniambie ubunifu wa Joti ni upi. hii imetokea kwenye catoon nyingi sana za Fredy Quimbi moja hii hapa na nyingine nitawawekea au mwenye nazo kwa haraka azishushe hapa janvini
Inaumaaaaa
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=jrTyxX9odnU[/ame]