dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,189
- 2,221
Ushauri wangu, Mh Lissu Rais ajeye naomba kabla ya cku ya uchaguzi tangaza siku japo moja ya Maombi ya kufunga kwa kila Mtu mwenye uwezo wa kufunga na kuomba kwa ajili ya uchaguzi na hasa kwa ajili yako pia.
Mimi niko tayari
Mimi niko tayari