Pongezi kwa jeshi la Polisi kwa kuona umuhimu wa kufanya ilo
1. Dar es Salaam sio yenye uwalifu pekee. Labda kama wanaanza apa alafu wandelee Mikoa mingine
2. Pili wezi gani wanaotafutwa?
i . Wakuiba vipuri vya magari majumbani mwa watu?
ii. Wakuiba Tv majumbani mwa watu
iii. Wezi wa kuvamia biashara na kupora hela?
iv. Wezi wa kuaibia wanawake wakiwa wanatembea (bodaboda)
Tukashalijuwa ili tunaenda kuangali mbinu za uwuzi zinazotumiwa na majambazi pamoja na mahali wanapo peleka kuuza hivyo vitu.
1. Wezi wamajumbani inasemakana wanatumia dawa zanusingizi, wanazipata wapi?
2. Wezi wa vipuri vya magari inasemekana na sungusungu wanakuwaga na bastola
3. Vipuli vya magari vikiibiwa vinajulikana vinapelekwa maeneo yafuatayo (Gerezani, Kaiakoo, Tabata, Kigamboni na ata Tegeta)
Kwanini Police wasiyatembelee hayo maeneo kwa operation maalumu. Maanake tutaona mengi.
4. TV sina huwakika kama zinamaeneo mahususi zinapopelekwa.
Baada ya kusema hayo:
Operation maalum isipopita umo, itakuwa ni maigizo.
Maanake tutaona wanaosumbuliwa ni vijiwe vya bodaboda, vijiwe vya bangi kwenye vijana wanaocheza pool. Na machimbo ya gongo.
Tukaambiwa ndio wezi wamekamatwa.
Lakini sehemu muhimu zinazo facilitate uwizi zisiguswe
Ni maoni yangu kama mmoja wa muhanga wakuibiwa
1. Dar es Salaam sio yenye uwalifu pekee. Labda kama wanaanza apa alafu wandelee Mikoa mingine
2. Pili wezi gani wanaotafutwa?
i . Wakuiba vipuri vya magari majumbani mwa watu?
ii. Wakuiba Tv majumbani mwa watu
iii. Wezi wa kuvamia biashara na kupora hela?
iv. Wezi wa kuaibia wanawake wakiwa wanatembea (bodaboda)
Tukashalijuwa ili tunaenda kuangali mbinu za uwuzi zinazotumiwa na majambazi pamoja na mahali wanapo peleka kuuza hivyo vitu.
1. Wezi wamajumbani inasemakana wanatumia dawa zanusingizi, wanazipata wapi?
2. Wezi wa vipuri vya magari inasemekana na sungusungu wanakuwaga na bastola
3. Vipuli vya magari vikiibiwa vinajulikana vinapelekwa maeneo yafuatayo (Gerezani, Kaiakoo, Tabata, Kigamboni na ata Tegeta)
Kwanini Police wasiyatembelee hayo maeneo kwa operation maalumu. Maanake tutaona mengi.
4. TV sina huwakika kama zinamaeneo mahususi zinapopelekwa.
Baada ya kusema hayo:
Operation maalum isipopita umo, itakuwa ni maigizo.
Maanake tutaona wanaosumbuliwa ni vijiwe vya bodaboda, vijiwe vya bangi kwenye vijana wanaocheza pool. Na machimbo ya gongo.
Tukaambiwa ndio wezi wamekamatwa.
Lakini sehemu muhimu zinazo facilitate uwizi zisiguswe
Ni maoni yangu kama mmoja wa muhanga wakuibiwa