Galbi
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 406
- 614
We kiboko ya wote 😄 😄 😄kujificha nyuma ya mlango wa mbele wakati wa kufungua na mzee alipoingia nimlimshitua na Kofi zito la sikio na kuanguka chini, mie nkatoka nduki.
sikurudi na sijawahi kumtafuta tena yule mdada.
Sent using Jamii Forums mobile app