Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,075
- 3,413
Hebu kuwa mwelewa tarehe 23 hadi tarehe 23 kwa mwezi mwingine si ni mwezi tayari
Hebu kuwa mwelewa tarehe 23 hadi tarehe 23 kwa mwezi mwingine si ni mwezi tayari
Umemwelesha vizuri sana Huyosijui hujui maana ya watu kupewa mshahara au ni nini,mtoa mada amesema serikali imechelewesha mshahara maana yake watu wanasubiri ujira wao baada ya kufanya kazi hizo za kutatua matatizo tofauti tofauti kwa mwezi moja kama mikataba yao ya ajira inavyosema.sasa unaposema watu wana lalamika baada ya kutatua matatizo sijui una manisha nini?.
Ww unafikri wameajiriwa kwa sababu gani ??WATUMISH WA UMMA WANAWAZA MSHAHARA TU, HATA KAZ HAWAFANYI
Inaonekana wewe umeshafutwa kwenye payroll labda kwa sababu ya vyeti vyako fake!! Mshahara mbona umeshatoka na tayari tuko kwenye bar tunatumia??Serikali imekuwa ikilipa mishahara tarehe 22 kila mwezi Leo hii tarehe 23 mishahara ya watumishi wa serikali bado hii wazi kuwa Hali ya uchumi nchini ni mbaya sana wananchi tuichangie serikali ili iweze kujikwamua .
Kweli mkuu hii serikali haina pesa tunakoelekea ni kubaya sana tutakuwa tunalipwa mpaka tarehe 9 mwezi mwingine kama makapuni ya ulinziKama hali ndio itakuwa hivyo,basi redundancy haiko mbali.
acha ku generalize vitu-kama unadhani kuna mtumishi wa umma hafanyi kazi nenda ukaripoti kwa mwajiri wake utaisaidia serikali na huyo mtumishi piaWATUMISH WA UMMA WANAWAZA MSHAHARA TU, HATA KAZ HAWAFANYI
Naelewa sana, lakini hata muda ulioanza kulalamika, ni mapema mno maana tarehe 23 inaisha saa sita usiku au kama ni muda wa kazi, basi ni saa 9.30 alasiri kwa hiyo subiri siku iisheHebu kuwa mwelewa tarehe 23 hadi tarehe 23 kwa mwezi mwingine si ni mwezi tayari
Umerogwa,na alie kuroga dawa aliitupa kwenye mto unaotiririsha maji ,ikaenda na maji,kichaa ulichonacho ni cha milele,utakufa nacho unapayuka hovyo maneno yasio kuna na msingiSerikali imekuwa ikilipa mishahara tarehe 22 kila mwezi Leo hii tarehe 23 mishahara ya watumishi wa serikali bado hii wazi kuwa Hali ya uchumi nchini ni mbaya sana wananchi tuichangie serikali ili iweze kujikwamua .
Serikali haina pesa huo ndoo ukweli wangekuwa na pesa wangelipa kwa wakati Hali ya uchumi ni mbaya sanaNaelewa sana, lakini hata muda ulioanza kulalamika, ni mapema mno maana tarehe 23 inaisha saa sita usiku au kama ni muda wa kazi, basi ni saa 9.30 alasiri kwa hiyo subiri siku iishe
Wakati unaajiriwa mshahara ulipata tar 22 au ni maboresho tu ya juzi kati,pia hata wakati wa kikwete mishahara haikua inalipwa siku moja yaani kuanzia tar 22 mpaka tar31 kila idara, wakala, wizara na mamlaka walikuwa wanalipwa tofauti. Sasa JPM hata ifike tar30 ni gvt civil servant wote ikitema imetemaHebu kuwa mwelewa tarehe 23 hadi tarehe 23 kwa mwezi mwingine si ni mwezi tayari
Unachoongea ni kweli kabisa ila usisahau hata mbuyu ulianza kama mchicha.Naelewa sana, lakini hata muda ulioanza kulalamika, ni mapema mno maana tarehe 23 inaisha saa sita usiku au kama ni muda wa kazi, basi ni saa 9.30 alasiri kwa hiyo subiri siku iishe
Acha kutumika ovyo haikusadii ww kama serikali MNA pesa lipeni mishahara acha maneno hapaWAKATI UNAAJIRIWA MSHAHARA ULIPATA TAR 22 AU NI MABORESHO TU YA JUZI KATI,PIA HATA WAKATI WA KIKWETE MISHAHARA HAIKUA INALIPWA SIKU MOJA YAANI KUANZIA TAR 22 MPAKA TAR31 KILA IDARA,WAKALA ,WIZARA NA MAMLAKA WALIKUWA WANALIPWA TGOFAUTI.SASA JPM HATA IFIKE TAR30 NI GVT CIVIL SERVANT WOTE IKITEMA IMETEMA
UKILINGANISHA NA WAKATI WA MKAPA,KIKWETE AU MWINYI?Serikali haina pesa huo ndoo ukweli wangekuwa na pesa wangelipa kwa wakati Hali ya uchumi ni mbaya sana
Mbona wakilipa tarehe 20, au 21 huwa hamlalamiki kuwa mnaihujumu Serikali?utaratibu uliowekwa na tarehe 22 ww hiyo ya tarehe 28 labda kwenye kampuni yako
Mara nyingine uwe unatumia kichwa kufikiri na kuleta uzi kwa great thinkers! Ingependeza kama mods mngeondoa upupu huu!Serikali imekuwa ikilipa mishahara tarehe 22 kila mwezi Leo hii tarehe 23 mishahara ya watumishi wa serikali bado hii wazi kuwa Hali ya uchumi nchini ni mbaya sana wananchi tuichangie serikali ili iweze kujikwamua .
Kwani nyie mnafanya kazi nchi gani hiyo ? Maana tangu saa 8.30 mchana, mshahara uko kwenye Account za wafanyakazi. Hebu nenda kaulize salio kama huna simu banking.Unachoongea ni kweli kabisa ila usisahau hata mbuyu ulianza kama mchicha.
LumumbaMbona wakilipa tarehe 20, au 21 huwa hamlalamiki kuwa mnaihujumu Serikali?
DAH,ASANTE,TUSIBISHANE SANA INAWEZEKANA MZAZI ANABISHANA NA MWANAE,SAMAHANI KM NIMEKUKWAZA,UKWELI NDIO HUO KUNA HAJA MAFUNZO MAHALI PA KAZI KUFANYIKAAcha kutumika ovyo haikusadii ww kama serikali MNA pesa lipeni mishahara acha maneno hapa