Maria unajua watu wanachukulia house girl kama punda hata punda mwenyewe huwa anashikwa na hamu.
Kama mnaona hastahili kumegwa na baba mwenye nyumba muwe mna mpa off siku za jmosi na j2 anatembelea ndugu huko huko na yeye atajipatia pumnziko la moyo
Ndo hapoo nabakia nawashangaa jamni!!! Lakini nimekumiso wewe mtu balaaa
:frusty::frusty::smash::smash::A S-coffee::A S-coffee::A S-heart-2::A S-heart-2:
:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::View attachment 19660preggers:reggers::grouphug::first:
Malavilavida, thanks kwa kunibebea mtoto Maria ww ni mwenye kheri kuliko wanawake wote, Ewe MariaView attachment 19659
Halafu atahamia kwa wanae, Hg ni sawa na binti yake ashindwe na alegee
Nina jamaa yangu ambaye sera yake ni kufanya mapenzi na housegirl wake. Hoja yake ni kuwa house girl ni spare tyre zuri. Halafu anapata munkari kuona anamwibia mkewe mle mle ndani ya nyumba na wife hajui. Hiyo anasema inampa raha sana. Nini maoni yenu. Je kitendo hiki ni kizuri kwa ndoa yake?
Swali lako linanishangaza!Tangu lini kuiba kukawa halali??Jibu sio halali!Mwambie awe na heshima kwa mkewe angalau hata kidogo tu!Maana dharau anayomwonyesha kwa hayo maneno anayosema na vitendo vyake haipimiki!
Nina jamaa yangu ambaye sera yake ni kufanya mapenzi na housegirl wake. Hoja yake ni kuwa house girl ni spare tyre zuri. Halafu anapata munkari kuona anamwibia mkewe mle mle ndani ya nyumba na wife hajui. Hiyo anasema inampa raha sana. Nini maoni yenu. Je kitendo hiki ni kizuri kwa ndoa yake?
Nilham mbona umebadilisha mwandiko tulishauzoea ule wa mwanzo au peni imepoteandio yatakuwa ni hayo hayo wallah maana si kasema apenda akiona huyo maid amuibia mamahouse wakati hajui na bint yake pia hashindwi walla....
Nina jamaa yangu ambaye sera yake ni kufanya mapenzi na housegirl wake. Hoja yake ni kuwa house girl ni spare tyre zuri. Halafu anapata munkari kuona anamwibia mkewe mle mle ndani ya nyumba na wife hajui. Hiyo anasema inampa raha sana. Nini maoni yenu. Je kitendo hiki ni kizuri kwa ndoa yake?