golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,271
- 688
hamna kitu nachukia kama kusoma mesej kwenye sim ya mpenz wangu, na yy kusoma msg kwenye sim yangu....why should i breach her privacy, why must she breach mine?
wivu ukizidi ni kero na ni source kubwa ya ugomvi..ujui kama wivu ni kidhibitisho cha mapenzi ya kweli?
Ashadii ametoa scenario zinazoonyesha hali halisi haina maana kuwa ndicho anachokifanya,of which is very true.Mh, Ashadii kwa kweli hapo umeniacha hoi, hata wewe shosti?
Naanza kuwa na mtazamo tofauti na nilivyokuwa nakufikiria katika michango yako ya awali ... anyway naendelea kukusoma!
Mh, Ashadii kwa kweli hapo umeniacha hoi, hata wewe shosti?
Madabwada ulikua na mtazamo gani awali??? lol
Ashadii ametoa scenario zinazoonyesha hali halisi haina maana kuwa ndicho anachokifanya,of which is very true.
Kuna kitu kinaitwa Privacy.. mahusiano yasiokua na chembe ya Privacy ndo hio usumbua saana maana mnanyimana breathing space.. naamini kua mjanja wa kuchanganya wenza sio mzembe kiasi cha kuwasiliana nae kimahaba kwa message au kumsave under AshaDii.. zaidi zaidi ataweka Alex au hata Prof AshaDii kuonesha ni mtu na heshima zake ili usimhusishe katika mawazo yako ya kushuku... Wanokamatwa na messages ni wale ambao sio wataalam na kufanya kwa kuiga hivyo si fani yao...
Enways mitazamo imetofautiana...
Duh! akya amaulana!, kumbe ndio zinavyoseviwa hivyoeeh??!
Kwa watu wanaoaminiana hakuna mipaka kwenye matumizi ya simu,lakini ni kukosa uaminifu kuchukua simu ya mwenzio kwa lengo la kumkagua,tayari unakuwa haumwamini,ni ujinga kuishina mtu usiemwamini na mtu mwaminifu haendi kuoga na simu yake,hata ikiita kama mke/mume yupo sio marufuku kupokea na anapopokea anatakiwa kusema"samahani mwenye simu anaoga"hata kama aliyepiga ni oposite na sex ya mwenza wako,sio unaanza 'wewe nani?'unamjuaje mwenye simu?'na maswali mengine ya kuonesha utupu kwenye kufikiri kwako!Mwisho wa yote kila mtu atumie simu kama yake,sio unataka ujue majina ya fonbuku ya mkeo/mumeo hiyo simu sio yako mwache mwenye simu atumie kama yake,kama humuamini ni bora mkaachana kwani hakuna maisha ya furaha kama hamuaminiani!
ujui kama wivu ni kidhibitisho cha mapenzi ya kweli?
sasa unasoma sms za mwenzio za nini na wewe una simu yako? Basi uzeni simu mmoja mtumie mmoja ili mshee vizuri.kuna kila sababu ya kusoma sms kwenye simu ya mpenz wako bt isiwe ndio mchezo wako wa kila siku au jambo la kwanza ufanyalo pindi mkutanapo. Ukiendekeza hii tabia mwenzio atahisi humwamin tena so itakua ugomvi sana..
tatizo kubwa linaloyumbisha ndoa nyingi ni SIRI. na kwa maisha ya siku hizi yanachangiwa zaidi ni hizo simu zenu; kuwa huru tu hata kama unataniwa kama ni kweli utani hakuna atakayekasirika