MAGARI7
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 2,401
- 1,299
Unaitwa mmavi-maviIpo dawa ya spry pia ipo dawa ya asili yapo majani jina siyajui ila kw macho nawajua hayo majani yakiwa mabichi ukiyapikicha hutoa harusi ya kinyesi basi ukitaji yatumia huyakausha kisha yakikauka mwezi akija huyachoma nnkurusu ule moshi upenyeze ndani yani ukivuta tu ile harusi unakuwa nusu kaput ndani ya masaaa mawili
Ili kuepuka wizi wa namna hii unashauriwa kuwa na maji ndani either kwenye jagi au kikombe maji yawe wazi kwani inasemekana spry yoyote ile au moshi wowote ule ukifulizwa sehemu ambapo maji yapo wazi ile dawa hukimbilia kwenye maji kwanini miye sijui ila nimepata huu uzoefu kwani tuliishi maeneo ambayo wizi wa namna hiyo ulikuwepo mkubwa sana na kina pekee ilikuwa kulala na maji ndani