James strong
New Member
- Aug 19, 2011
- 4
- 1
Nionavyo mimi ni busara tutumie jukwaa hili kuelimishana mambo ya msingi ya maisha badala ya mizahaa na mambo yasiyo ya kujengana,tuzungumze mambo ya kiroho na mwili pia ili mradi msomaji ajegwe na shida pia zijibiwe hapa jf,THANKS 2ALL