Ni bora CCM wafanyie mikutano madarasani

Great thinkers.
Kwa jinsi nilivyo ona picha kwenye gazeti la mwananchi kuna kila sababu CCM, Nape na viongozi wake kufanyia mikutano shule za msingi au sekondari.

Natambua sheria ya vyama vingi ya mwaka 1992 imekataa kuendesha siasa kwenye taasisi kubwa za elimu na hata kwenye mashule. Lakini kwa jinsi hali ya mambo ilivyo kwa CCM nawashauri wafanye hivyo maana umati au wingi wa watu umekuwa fasheni na kipimo cha kukubalika kwenye vyombo vya habari.

Mashuleni hasa msingi watapata wanafunzi wengi maana itakuwa amri kuwa ni lazima wanafunzi wahudhurie hivyo wanafunzi hawata pata kero kupelekwa au kukatishwa vipindi kwa ajili ya mikutano ya ccm inayofanyika nje ya shule zao.

Lakini pia itawasaidia kukuza wanachama wapya wa miaka 10 ijayo ccm ikiwa chama cha upinzani ikijipanga kuondoa CdM madarakani maana kwenye mavyuo wamesha ona hali ni mbaya na hawana chao tena. Udom wanapo pategemea pamesha tekwa siku nyingi na ni miongoni mwa ngome za CdM kwa vyuo vikuu.

Hivyo nawashauri mikutano yao ifanyikie mashuleni tena wakati wa gwaride, morning talk, evining talk au muda wa prepo. Vinginevyo wataendelea kuvuna aibu au watajikuta siku moja wako mikutanoni wenyewe au wao na mabalozi wa nyumba kumi kumi.
Hii thread yako haina tija. I categorise it as Holy crap.
 
Hii thread yako haina tija. I categorise it as Holy crap.
Wewe ndugu una roho ngumu kama ya NAPE ambaye anatoa bila kuchoka ufafanuzi wa CCM kujivua gamba japo anajua hakuna anayemwelewa. Mcheki anavyowamwagia sera za kuvua MAGAMBA watoto hawa wadogo
 
Mkuu umenimaliza!!! nami huwa najiuliza, kuna connection gani na wanafunzi wakati wa ziara za magamba? Kweli watoto huwa wanavutiwa na watu wasio wa kawaida especially CRAZY GUYS
 
nape anapowaeleza wanafunzi kujivua ligamba labda ni silabasi mpya kwani siku hizi kila kiongozi wa gamba anaamua cha kusema chochote mradi awefurahishe waliopo hawana mipango ya kuendeleza nchi ....anatembea kuona nchi ilivyo na apate posho je analipwa bei gani?
 
Naungana na wewe mkuu. Na wanavyozidi kukawiza tiba ndio inavyozidi kula kwao. Wakipata tiba mgonjwa yuko mochuri. Kinachofuata ni makamera ya video msibani na kuku kwa mrija wakati wa maombolezo.

CCM wanataka kutibu ugonjwa kwa maudhurio ya watu wanaokuja kumuhani ngonjwa badala ya kutafuta tiba ya ngonjwa .!!
 
Great thinkers.
Kwa jinsi nilivyo ona picha kwenye gazeti la mwananchi kuna kila sababu CCM, Nape na viongozi wake kufanyia mikutano shule za msingi au sekondari.

Natambua sheria ya vyama vingi ya mwaka 1992 imekataa kuendesha siasa kwenye taasisi kubwa za elimu na hata kwenye mashule. Lakini kwa jinsi hali ya mambo ilivyo kwa CCM nawashauri wafanye hivyo maana umati au wingi wa watu umekuwa fasheni na kipimo cha kukubalika kwenye vyombo vya habari.

Mashuleni hasa msingi watapata wanafunzi wengi maana itakuwa amri kuwa ni lazima wanafunzi wahudhurie hivyo wanafunzi hawata pata kero kupelekwa au kukatishwa vipindi kwa ajili ya mikutano ya ccm inayofanyika nje ya shule zao.

Lakini pia itawasaidia kukuza wanachama wapya wa miaka 10 ijayo ccm ikiwa chama cha upinzani ikijipanga kuondoa CdM madarakani maana kwenye mavyuo wamesha ona hali ni mbaya na hawana chao tena. Udom wanapo pategemea pamesha tekwa siku nyingi na ni miongoni mwa ngome za CdM kwa vyuo vikuu.

Hivyo nawashauri mikutano yao ifanyikie mashuleni tena wakati wa gwaride, morning talk, evining talk au muda wa prepo. Vinginevyo wataendelea kuvuna aibu au watajikuta siku moja wako mikutanoni wenyewe au wao na mabalozi wa nyumba kumi kumi.

Hiyo picha ipo kwenye gazeti la lini na ukurasa gani? coz katika gazeti la leo la Mwananchi simwoni Nape akifanya kampeni darasani.
 
Kwikwikwikwikwikwi,duh huo ushauri ni wa ukweli kinoma cause unapojiandaa kuwa mpinzani lazima uwafuate digidigi.CCM kwishney zao,kila wanaposhika hapashikiki,wataendelea kuisoma kwa mbaaaaaali 2015.
 
Back
Top Bottom