Ni bora CCM wafanyie mikutano madarasani

Dec 11, 2010
3,321
6,328
Great thinkers.
Kwa jinsi nilivyo ona picha kwenye gazeti la mwananchi kuna kila sababu CCM, Nape na viongozi wake kufanyia mikutano shule za msingi au sekondari.

Natambua sheria ya vyama vingi ya mwaka 1992 imekataa kuendesha siasa kwenye taasisi kubwa za elimu na hata kwenye mashule. Lakini kwa jinsi hali ya mambo ilivyo kwa CCM nawashauri wafanye hivyo maana umati au wingi wa watu umekuwa fasheni na kipimo cha kukubalika kwenye vyombo vya habari.

Mashuleni hasa msingi watapata wanafunzi wengi maana itakuwa amri kuwa ni lazima wanafunzi wahudhurie hivyo wanafunzi hawata pata kero kupelekwa au kukatishwa vipindi kwa ajili ya mikutano ya ccm inayofanyika nje ya shule zao.

Lakini pia itawasaidia kukuza wanachama wapya wa miaka 10 ijayo ccm ikiwa chama cha upinzani ikijipanga kuondoa CdM madarakani maana kwenye mavyuo wamesha ona hali ni mbaya na hawana chao tena. Udom wanapo pategemea pamesha tekwa siku nyingi na ni miongoni mwa ngome za CdM kwa vyuo vikuu.

Hivyo nawashauri mikutano yao ifanyikie mashuleni tena wakati wa gwaride, morning talk, evining talk au muda wa prepo. Vinginevyo wataendelea kuvuna aibu au watajikuta siku moja wako mikutanoni wenyewe au wao na mabalozi wa nyumba kumi kumi.
 
Kwani hata hao wa Shule za Msingi wakikua na wakijua kuwa hapo walipofika ndio ccm imewafikisha basi watakikataa, Ushauri wa bure kwa Nape akatae hiyo kazi lasivyo ni kujiaibisha
 
Kwani hata hao wa Shule za Msingi wakikua na wakijua kuwa hapo walipofika ndio ccm imewafikisha basi watakikataa, Ushauri wa bure kwa Nape akatae hiyo kazi lasivyo ni kujiaibisha
Na hasa wakielewa ndio waliosababisha wasome huku wamekaa chini badala ya kwenye madawati itakuwa ni balaa zaidi
 
Kwi kwi kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jamani mbavu zangu mieeee hooooiiii. Nineiona ile picha nawashangaa nyie na vijiba vtenu vya roho
 
ile yaleo ni kali kuliko,,,eti wanzunguka kufafanua kujivua gamba...watoto kibao...
 
Anguko la mkoloni mweusi limefika tayari,limbukeni NAPE hana jipya tena,uongo wake unajulikana nch nzima.
 
Ndio mbinu pekee iliyobaki, inaonekana watoto wanawaelewa zaidi...
 
Great thinkers.
Kwa jinsi nilivyo ona picha kwenye gazeti la mwananchi kuna kila sababu CCM, Nape na viongozi wake kufanyia mikutano shule za msingi au sekondari.

Natambua sheria ya vyama vingi ya mwaka 1992 imekataa kuendesha siasa kwenye taasisi kubwa za elimu na hata kwenye mashule. Lakini kwa jinsi hali ya mambo ilivyo kwa CCM nawashauri wafanye hivyo maana umati au wingi wa watu umekuwa fasheni na kipimo cha kukubalika kwenye vyombo vya habari.

Mashuleni hasa msingi watapata wanafunzi wengi maana itakuwa amri kuwa ni lazima wanafunzi wahudhurie hivyo wanafunzi hawata pata kero kupelekwa au kukatishwa vipindi kwa ajili ya mikutano ya ccm inayofanyika nje ya shule zao.

Lakini pia itawasaidia kukuza wanachama wapya wa miaka 10 ijayo ccm ikiwa chama cha upinzani ikijipanga kuondoa CdM madarakani maana kwenye mavyuo wamesha ona hali ni mbaya na hawana chao tena. Udom wanapo pategemea pamesha tekwa siku nyingi na ni miongoni mwa ngome za CdM kwa vyuo vikuu.

Hivyo nawashauri mikutano yao ifanyikie mashuleni tena wakati wa gwaride, morning talk, evining talk au muda wa prepo. Vinginevyo wataendelea kuvuna aibu au watajikuta siku moja wako mikutanoni wenyewe au wao na mabalozi wa nyumba kumi kumi.

mkuu naomba uwe na ushauri mbadala
 
Halafu alikuwa na wasiwasi kama wale watoto wanamuelewa, maana alikuwa anaulizauliza sana eti ' nyie mmenielewa nnachosema'?
 
mkuu naomba uwe na ushauri mbadala

Wewe kweli Mtori! Ina maana hujaona ameshauri waanze kufanyia mikutano yao mashuleni maana huku mtaani watajikuta wapo wenyewe na mabalozi tu? Au ni mbadala gani uliokuwa unataka upewe?
 
Great thinkers.
Kwa jinsi nilivyo ona picha kwenye gazeti la mwananchi kuna kila sababu CCM, Nape na viongozi wake kufanyia mikutano shule za msingi au sekondari.

Natambua sheria ya vyama vingi ya mwaka 1992 imekataa kuendesha siasa kwenye taasisi kubwa za elimu na hata kwenye mashule. Lakini kwa jinsi hali ya mambo ilivyo kwa CCM nawashauri wafanye hivyo maana umati au wingi wa watu umekuwa fasheni na kipimo cha kukubalika kwenye vyombo vya habari.

Mashuleni hasa msingi watapata wanafunzi wengi maana itakuwa amri kuwa ni lazima wanafunzi wahudhurie hivyo wanafunzi hawata pata kero kupelekwa au kukatishwa vipindi kwa ajili ya mikutano ya ccm inayofanyika nje ya shule zao.

Lakini pia itawasaidia kukuza wanachama wapya wa miaka 10 ijayo ccm ikiwa chama cha upinzani ikijipanga kuondoa CdM madarakani maana kwenye mavyuo wamesha ona hali ni mbaya na hawana chao tena. Udom wanapo pategemea pamesha tekwa siku nyingi na ni miongoni mwa ngome za CdM kwa vyuo vikuu.

Hivyo nawashauri mikutano yao ifanyikie mashuleni tena wakati wa gwaride, morning talk, evining talk au muda wa prepo. Vinginevyo wataendelea kuvuna aibu au watajikuta siku moja wako mikutanoni wenyewe au wao na mabalozi wa nyumba kumi kumi.
CCM wanataka kutibu ugonjwa kwa maudhurio ya watu wanaokuja kumuhani ngonjwa badala ya kutafuta tiba ya ngonjwa .!!
 
Great thinkers.
Kwa jinsi nilivyo ona picha kwenye gazeti la mwananchi kuna kila sababu CCM, Nape na viongozi wake kufanyia mikutano shule za msingi au sekondari.

Natambua sheria ya vyama vingi ya mwaka 1992 imekataa kuendesha siasa kwenye taasisi kubwa za elimu na hata kwenye mashule. Lakini kwa jinsi hali ya mambo ilivyo kwa CCM nawashauri wafanye hivyo maana umati au wingi wa watu umekuwa fasheni na kipimo cha kukubalika kwenye vyombo vya habari.

Mashuleni hasa msingi watapata wanafunzi wengi maana itakuwa amri kuwa ni lazima wanafunzi wahudhurie hivyo wanafunzi hawata pata kero kupelekwa au kukatishwa vipindi kwa ajili ya mikutano ya ccm inayofanyika nje ya shule zao.

Lakini pia itawasaidia kukuza wanachama wapya wa miaka 10 ijayo ccm ikiwa chama cha upinzani ikijipanga kuondoa CdM madarakani maana kwenye mavyuo wamesha ona hali ni mbaya na hawana chao tena. Udom wanapo pategemea pamesha tekwa siku nyingi na ni miongoni mwa ngome za CdM kwa vyuo vikuu.

Hivyo nawashauri mikutano yao ifanyikie mashuleni tena wakati wa gwaride, morning talk, evining talk au muda wa prepo. Vinginevyo wataendelea kuvuna aibu au watajikuta siku moja wako mikutanoni wenyewe au wao na mabalozi wa nyumba kumi kumi.

kama unaona una ushauri mzuri zaidi, si uende ukaishauri chadema.
 
Chama cha vichaa kile ! Watoto huwa na kawaida ya kushangaa wendawazimu , hahaah ccm a.k.a ze magambaz
 
Great thinkers.
Kwa jinsi nilivyo ona picha kwenye gazeti la mwananchi kuna kila sababu CCM, Nape na viongozi wake kufanyia mikutano shule za msingi au sekondari.

Natambua sheria ya vyama vingi ya mwaka 1992 imekataa kuendesha siasa kwenye taasisi kubwa za elimu na hata kwenye mashule. Lakini kwa jinsi hali ya mambo ilivyo kwa CCM nawashauri wafanye hivyo maana umati au wingi wa watu umekuwa fasheni na kipimo cha kukubalika kwenye vyombo vya habari.

Mashuleni hasa msingi watapata wanafunzi wengi maana itakuwa amri kuwa ni lazima wanafunzi wahudhurie hivyo wanafunzi hawata pata kero kupelekwa au kukatishwa vipindi kwa ajili ya mikutano ya ccm inayofanyika nje ya shule zao.

Lakini pia itawasaidia kukuza wanachama wapya wa miaka 10 ijayo ccm ikiwa chama cha upinzani ikijipanga kuondoa CdM madarakani maana kwenye mavyuo wamesha ona hali ni mbaya na hawana chao tena. Udom wanapo pategemea pamesha tekwa siku nyingi na ni miongoni mwa ngome za CdM kwa vyuo vikuu.

Hivyo nawashauri mikutano yao ifanyikie mashuleni tena wakati wa gwaride, morning talk, evining talk au muda wa prepo. Vinginevyo wataendelea kuvuna aibu au watajikuta siku moja wako mikutanoni wenyewe au wao na mabalozi wa nyumba kumi kumi.

Watakusikia wenyewe
 
Great thinkers.
Kwa jinsi nilivyo ona picha kwenye gazeti la mwananchi kuna kila sababu CCM, Nape na viongozi wake kufanyia mikutano shule za msingi au sekondari.

Natambua sheria ya vyama vingi ya mwaka 1992 imekataa kuendesha siasa kwenye taasisi kubwa za elimu na hata kwenye mashule. Lakini kwa jinsi hali ya mambo ilivyo kwa CCM nawashauri wafanye hivyo maana umati au wingi wa watu umekuwa fasheni na kipimo cha kukubalika kwenye vyombo vya habari.

Mashuleni hasa msingi watapata wanafunzi wengi maana itakuwa amri kuwa ni lazima wanafunzi wahudhurie hivyo wanafunzi hawata pata kero kupelekwa au kukatishwa vipindi kwa ajili ya mikutano ya ccm inayofanyika nje ya shule zao.

Lakini pia itawasaidia kukuza wanachama wapya wa miaka 10 ijayo ccm ikiwa chama cha upinzani ikijipanga kuondoa CdM madarakani maana kwenye mavyuo wamesha ona hali ni mbaya na hawana chao tena. Udom wanapo pategemea pamesha tekwa siku nyingi na ni miongoni mwa ngome za CdM kwa vyuo vikuu.

Hivyo nawashauri mikutano yao ifanyikie mashuleni tena wakati wa gwaride, morning talk, evining talk au muda wa prepo. Vinginevyo wataendelea kuvuna aibu au watajikuta siku moja wako mikutanoni wenyewe au wao na mabalozi wa nyumba kumi kumi.

Tayari wanafanya hivi madrasani......
 
Back
Top Bottom