Eddy ruta
Member
- Sep 25, 2016
- 57
- 67
That's True coz hakuna kitu tamu kama mkopoHakuna kitu mbaya kama pesa ya mkopo kuitumia kuanzisha project ni mbaya sana mkuu bt pesa ya mkopo hutumika kukuza project na hapa ndipo watumishi wengi walokimbilia bank huanza kujuta
my take! anza kilimo hata kwa nusu ekari kwa kutumia mshahara wako then baadae kupitia zao hilo hilo utakuwa ushajua abc zake ingia bank komba pesa kawekeze
all the best