Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
inasikitisha sana!<br /><br />
<br /><br />
Na hapo ndio wanaona mtaji wao ulipo wakiamini ni salama
Hawa ni watoto, wanadanganyika, na ukizingatia kwamba kwa tabia za familia zetu, wazazi hawaongei na watoto wao kuhusu sex, na shule zetu hizi za square root hakuna walimu wa SRH au makuzi.
Balaa hili!