Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

Samahanini wanajamvi wenzangu natumia nokia c3 00 ilikuwa inakubali whatsapp sasa nashindwa tena kudownlod naombeen msaada wenu natanguliza shukran
 
msaada nina iphone 4s,nashindwa kuiunganisha na internet,pili hata ukichukua vitu kwenye pc vinakuja kama file je tatizo hlo nini jibu lake!
 
iPhone ni tofauti na simu nyingi tulizo zizoea, hii inajiunganisha yenyewe kwenye network ila tu kuna settimg lazima iwe sawa kwenye upande wa Settings\Cellular\ halafu hakikisha Cellular Data iko enabled na 3G data iko enabled halafu niambie kama bado....:rolleyes:
 
Kitu "smart lock" nafunga kila file hata nikikuazima simu yangu huwezi kuidukua
Yaani hii ni komesha kwa wale wote wanaopenda kudukua maasiliano ya watu

Natumia "AppLock", ni nzuri pia. Huwezi access application yoyote ambayo imekuwa assigned nayo. Kama ulivosema tototundu 1, mtu achezee simu atakavyo mpaka charge iishe but hawezi ingia kwnye hizo Apps ambazo ziko locked. Wonderful.......
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale watumiaji wa TAB/Android Phone yoyote hii kitu inawahusu Unapata Internet Unlimited BURE kabisa ali mradi uwe na hela ya kulipia server
Chukua namba zangu tuongee Biashara...ziko kwenye footer
mbe6.png
 
Wakuu wenye simu za android na Iphone.........

Moja ya sifa ya hizi simu zinazotmia platform hii ni Apps mbai mbali .

Inawezekana kuna mtu anatumia app nzuri fulani ambayo mwenzake hajui

Nilikuwa najaribu ku google best anroid/Iphone apps. Matokeo nyingi niizoona haziwezi kuwa na maufaa au matumzi kwa mazigra yetu ya bongo.

Haya wenye Adroid na Iphone tuelimisane some usable apps Tukinooda zile za facebook. twitter yahoo hotmai skype...

Naanza

Bible/Qoran .......( Hizi nadhani kwa waumini wa dini) watakuwa nazo au waatakiwa kuwa nazo. sina uhaa na Iphone. Kwa android zip free apps na za kulipia. Sijui majumbo ya ibada yatachukuliaje challenge ya mtu badala ya kwenda na kitabu(Hard copy) kitakatfu anawenda na simu yeye kitabu itaatifu( Electonic copy) . So simu inakuwa kama kitabu . Any way hi ni mazungumzo baada ya habari......... Challenge nyingine wa mm mrstu nayona hapa ni Ukoef u wa apps katika lugha ya kiswahili. Kama ipo app ya biblia ya kiswahii nifahamishwe. Kama hakuna eveloper mnasamaje


Tuendeeee kujulishana app nyingine

ipo mimi natumia nenda ktk Google play then search for biblia
 
For iPhones

1. Bible (Kiswahili(agano jipya & kale), English & na lugha zingine)
2. iBook (kusoma vitabu mbali mbali, novels, na kuvipanga kwenye shelf )
3. iFileExplorer (kuExchange data kati ya iphone yako na computer kupitia ip address)
4. Installous (kuDownload applications zilizopo kwenye App Store bure)
5. 3G unrestrictor (kuCheat applications za simu zinazohitaji wifi na kuzitumia kwa 3G ikiwemo kupiga video calls on 3G)
6. DreamBoard (kuWezesha kufanya simulation ya OS zingine kama Android, Windows Mobile, BlackBerry HD&SD kwenye i4n)
7. Quickoffice Pro (kutengeneza, kuedit microsoft office documents ie,,excel,word,access,powerpoint etc)
8. BUZZ Player, VLC Player (kuplay HD movies za format tofauti kwenye iPhone)
9. GlobeConvert (converter ya currency, length, weight etc)
10.Paint Studio, PhotoStudio, FL Studio (playing & editing audio and photos)
11. Aljazeera, Press TV, BBC, Skynews, CNN (live streaming applications...
12. Coolstreaming (watching live dstv channels over the internet)


iPhone Games:

1. Modern Combat 3 (size: 1.04GB)
2. FIFA 12 (size: 1.02GB)
3. Gangstar Rio (size: 813MB)
4. Gangstar MV (size: 439MB)
5. Brothers In Arms 2 (size: 266MB)
6. Avatar (size: 200MB)
7. InfinityBlade2 (size: 932MB)
8. Fast Five (size:773MB)
9. NOVA (size:580MB)
10.NFS Shift (size:312MB)

Nataka niipate iyo 3g unrestricter kweny iphone yangu lakini naambia kwanza ni jail break.......naomba nisaidiwe wa ndugu napata sn shida cwezi download anything above 100mb
 
Nataka niipate iyo 3g unrestricter kweny iphone yangu lakini naambia kwanza ni jail break.......naomba nisaidiwe wa ndugu napata sn shida cwezi download anything above 100mb
ni lazima uJailbreak ndio upate 3G unrestrictor. Hiyo ni 'tweak' app na inafanya kazi baada ya kupata access ya root files kwenye iPhone. fanya kuJailbreak kwanza..
 
Kwa mwenye android phn kama mimi uckose kuwa na
1: Picsart
Hii ni best app ever kwaajl ya kuedit picha
Kuunganisha picha mbalimbali km picmix ya blakber
Kuchora michoro kama ww ni artist kama mm na ina camera pia..
2: Avast antivirus
Hii inalinda mwenendo mzima wa mafile yaliopo kny phn
Inazuia virus kuingia na kuharibu documents zako
Ina internet security pia
Ina option ya kulock phn endapo imepotea aw kuibiwa na inakutumia updates za cm ilipo kupitia line yako nyngne
3.Du batery saver
Ina ratibu na kucontrol matumizi ya batery ya simu yako
4.Instruments tuner
Hii inanisaidia kutune guitar langu
Pia unaweza ku tune banjo,ukulele,violin etc
5:Real guitar,Real piano,
Ni vifaa tajwa vya muziki unaeza ku piga guitar au piano kupitia cm yako
6:games ninazo penda ni
Raging thunder,Real racing na drag racing hizi ni za racing
Nyingine ni
Temple run,Angry birds,bad piggies etc
7:socials nilizo nazo ni
Facebook,instagram,jamiiforum,skype,whatsap,twitter,viber na Tango.
Napenda sana android operating system.:D
 
Mie sielewi chochote hapa...kwa hili nahitaji mwalimu na sehemu ya kusoma tuition...kweli kabsa haki ya mungu...mie najua simu ikiwa na pesa napiga na kutuma sms labda sikuhizi kuna camera music na tochi...haya mengine sijui games mara nini wala hata sijayajua...au ndio nazeeka vibaya??..

Teknolojia nimewaachia watoto basi nakuwa mgenin kabsaaa...

Kwani hawa samsung galaxy 2 ndio nani sasa? Android au i-phone?...na wale smart phones ndio nani tena?

Acha kua kilaza.
 
ni lazima uJailbreak ndio upate 3G unrestrictor. Hiyo ni 'tweak' app na inafanya kazi baada ya kupata access ya root files kwenye iPhone. fanya kuJailbreak kwanza..

Msaada jins ya kujailbreak...nina 4s runing IOS7...na nin hasara ya kujaibrake
 
iphone:

Viki
Dropbox
openVPN
Quora
Find near me
Unit Plus
Circle
Battery Saver
360 Cities
Telegram
 
Hovering control...
Hii ni ya ku sense unaweza kuhamisha page au play next track kwa kupitisha mkono juu ya cmu bila kugusa
..ni built in kwa wale wa s4 na note 3..maana wao wanatumia front camera
 
Back
Top Bottom