Maseto
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 944
- 545
Wana jf, ni ajabu ilioje kutokuhesabiwa familia ya watu 7 huku mtwara.tupo jirani sana na ofisi za wilaya ya masasi. Tumetoa taarifa kwa wahusika zaidi ya mara 3 lakini hadi muda wa sensa unaisha hajatokea mtu wa kutuhesabu.tumeulizia kama ni sisi tu tumeambiwa kuwa ni kaya nyingi tu huku mtwara hazikupitiwa. Kuna tatizo kubwa.inawezekana hata taarifa kuwa 95% wamehesabiwa si za kweli.