BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Mara kadhaa nimemskia Jaji Mkuu akisema katika utawala wake amefanya mabadiliko makubwa ya mifumo na kuendesha kila kitu kwa njia za Digitali.
Lakini cha ajabu leo nimekutana na ukurasa rasmi wa Website ya Mahakama nchini ikiwa kwenye mtindo wa Blogspot tena ikiwa na tahadhari ya kuwa hatarishi kwa mtu anayeingia.
Pia, aina ya uandishi unaotumika kwa kweli si mzuri. Ni uandishi wa mipasho unaodhalilisha taaluma ya Sheria nchini.