Ni Africa tu Unaweza Ona Hii

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
Katika tembea yangu sehemu nyingi duniani ni Afrika tu ndio nimeweza ona hii!
Only in Africa 1.jpg

Only in Africa 2.jpg

Only in Africa 3.jpg

Only in Africa 4.jpg

Only in Africa 5.jpg
 
Jamaa wanaopiga nondo waache tu wanatafuta apetaiti, ila mama mwenye kichanga na SMG front! kanichefua mno!
 
Nimekupata mkuu hii ndio africa,hawa jamaa kwenye gym kama wale wa quality center kwa manji duuuu!
 
Mkuu ukisema Africa nadhani unakuwa hujaitendea haki africa,nenda Asia kuna nchi kibao maskini sana tena kuna mambo zaidi ya haya,nenda Bangladesh'Nepal,afghanistan,na hata baadhi ya meneo ya India na Srilanka haya yapo sana,tatizo letu waafrica kila kitu chetu tunakidharau!
 
Back
Top Bottom