Ni 14 February je, unapendwa….?

Expensive life

JF-Expert Member
May 2, 2020
1,704
5,480
Ile siku mahususi kwa ajili ya wapendanao imewadia. Yaaani 14 February, hii ndio siku ambayo gest zote nchini huwa bize.

Je, unapendwa?? Mara yako ya mwisho kuambiwa nakupenda na mme, mke, etc ilikuwa lini? Vijizawadi vya hapa na pale je!

Je unapendwa? Embu titirika hapo chini….
 
Back
Top Bottom