Nguvu ya shirika la Kijasusi la kanisa Katoliki duniani na Tanzania

papa ameinginia cuba na marekani kurejesha uhusiano baada ya miaka mingi sana, ila sio siri jamaa wana nguvu kubwa sana duniani ila toka waache kuongoza dunia kama watawala cku hizi wamekua wazee wa underground sana aisee,c unaona hata obama na putin mwaka huu walienda kule vatcan kusalimia
 
Biblia imeandikwa na Binadamu...Binadamu hao walipata mafunuo kwa njia ya Roho Mtakatifu....

Maandishi na nyaraka nyingi ziliandikwa na watu mbalimbali..nyingine zilikuwa na mafunuo ya Mungu nyingine zilikosa mafunuo ya Mungu..

Zilizokuwa na mafunuo ya Mungu zilichsmbuliwa na kupitiwa kwa umakini na Mababa wa Kanisa wakavipitisha chini ya Mtaguso wa Efeso ndio likiitwa Neno la Mungu(Biblia)


Mbona unadanganya mbona kanisa lako halisemi hivyo



The Church agrees, saying:

"Our documentary sources of knowledge about the origins of Christianity and its earliest development are chiefly the New Testament Scriptures, the authenticity of which we must, to a great extent, take for granted."
(Catholic Encyclopedia, Farley ed., vol. iii, p. 712)

The Church makes extraordinary admissions about its New Testament. For example, when discussing the origin of those writings,

"the most distinguished body of academic opinion ever assembled" (Catholic Encyclopedias, Preface) admits that the Gospels "do not go back to the first century of the Christian era"

(Catholic Encyclopedia, Farley ed., vol. vi, p. 137, pp. 655-6).

This statement conflicts with priesthood assertions that the earliest Gospels were progressively written during the decades following the death of the Gospel Jesus Christ.



In a remarkable aside, the Church further admits that,

"the earliest of the extant manuscripts [of the New Testament], it is true, do not date back beyond the middle of the fourth century AD"

(Catholic Encyclopedia, op. cit., pp. 656-7).

That is some 350 years after the time the Church claims that a Jesus Christ walked the sands of Palestine, and here the true story of Christian origins slips into one of the biggest black holes in history. There is, however, a reason why there were no New Testaments until the fourth century: they were not written until then, and here we find evidence of the greatest misrepresentation of all time.
 
Lzm UKIMBIE manake Hoja huna.

Leta Ushahidi wa Andiko LISILOKUWA LA PAULO MWENYEWE Linalosema kuwa ALIKUTANA NA MWANAFUNZI WA YESU HATTA MMOJA.

Toka lini Mtu akajitolea USHAHIDI YEYE MWENYEWE na Ukakubalika?

We kweli umekwenda shule?
Kama lile la mtume kwenda na kurudi toka mbinguni nalo halina ushahidi mkuu ile safari ya miraj.Unaliongeleaje hili?
 
Kama lile la mtume kwenda na kurudi toka mbinguni nalo halina ushahidi mkuu ile safari ya miraj.Unaliongeleaje hili?
kama umesoma historia hii ktk Uislamu vizuri utakuwa umesoma kuwa watu waliokuwa pale baada ya kuambiwa kuwa safari hio ilitokea walikataa na kusema HAIWEZEKANI km wewe unavyokataa ndipo mtume wa Mungu alipotoa Ruksa kuulizwa maswali yyt kudhihirisha kuwa alisafiri kwa usiku mmoja toka Makkah(Saudi Arabia) mpk Palestine na kurudi. akaulizwa maswali mengi tu na wasiokuwa waislamu na kuyajibu yote na pia alitaja misafara ya wafanya biashara aliyokutana nayo njiani na wale walikuwa wakipinga wakaamua kuisubiri ile misafara na kuwauliza km kweli walimuona na WOTE wakahakiki kuwa asemayo ni kweli.
na misafara ile waliisubiri zaidi ya wiki kadhaa ifike.

Na kuhusu Safari ya kufika mbinguni HAKUNA chochote ktk stori hii kimeleta contradictions ktk Story yote.

upande wa Paulo HAKUNA Ushahidi wwt uliotolewa na ASIEKUWA PAULO kuwa Akisemacho kilitokea. na kingine cha kuongezea ni kuwa PAULO alipokuwa kiongozi wa warumi ALIUA MAMILION YA WAFUASI WA KWELI WA YESU na Ndio maana alipokwenda Antiokia wafuasi wa YESU walimpiga na kutaka kumuua ndio Akakimbia.

Kuamini kuwa MUUWAJI wa Wafuasi wa Yesu anawe kupewa Utume na Yesu mwenyewe ni Sawa na kukubali kuwa kuna uwezekano wa HITLER kupewa Utume kwa Wahayudi.
Hili linaweza ingia akilini mkuu?
 
kama umesoma historia hii ktk Uislamu vizuri utakuwa umesoma kuwa watu waliokuwa pale baada ya kuambiwa kuwa safari hio ilitokea walikataa na kusema HAIWEZEKANI km wewe unavyokataa ndipo mtume wa Mungu alipotoa Ruksa kuulizwa maswali yyt kudhihirisha kuwa alisafiri kwa usiku mmoja toka Makkah(Saudi Arabia) mpk Palestine na kurudi. akaulizwa maswali mengi tu na wasiokuwa waislamu na kuyajibu yote na pia alitaja misafara ya wafanya biashara aliyokutana nayo njiani na wale walikuwa wakipinga wakaamua kuisubiri ile misafara na kuwauliza km kweli walimuona na WOTE wakahakiki kuwa asemayo ni kweli.
na misafara ile waliisubiri zaidi ya wiki kadhaa ifike.

Na kuhusu Safari ya kufika mbinguni HAKUNA chochote ktk stori hii kimeleta contradictions ktk Story yote.

upande wa Paulo HAKUNA Ushahidi wwt uliotolewa na ASIEKUWA PAULO kuwa Akisemacho kilitokea. na kingine cha kuongezea ni kuwa PAULO alipokuwa kiongozi wa warumi ALIUA MAMILION YA WAFUASI WA KWELI WA YESU na Ndio maana alipokwenda Antiokia wafuasi wa YESU walimpiga na kutaka kumuua ndio Akakimbia.

Kuamini kuwa MUUWAJI wa Wafuasi wa Yesu anawe kupewa Utume na Yesu mwenyewe ni Sawa na kukubali kuwa kuna uwezekano wa HITLER kupewa Utume kwa Wahayudi.
Hili linaweza ingia akilini mkuu?
Katika yote hii haijawahi niingia akilini. Mimi naamini miujiza au ufunuo wa namna hii lazima uwe na ushahidi usiotia shaka. Mwamedi alikuwa mfanyabiashara na alikuwa ametembea sana japo hakuwa na elimu.

Pia ufunua na historia nyingi ambazo zinalink na vitabu vya Musa alizipata kupitia Waraqah ambaye vitabu vya historia vinasema alikuwa mtawa wa kikatoliki pamoja na Khadijah.Hawa walitosha kumsimulia mambo akayatengeneza kumfit kama ambavyo alitoa historia ya kukutana na mitume wa mwenyezi Mungu na uundwaji wa swala tano.Lakini ifike mahali tuseme tu kwamba hata shetani ana mafunuo yake japo ushahidi hata wa kwenda Jerusalem unatia shaka manake kipindi hicho hekalu lilikuwa halipo ila yeye alilikuta na akapaa kuanzia pale

Ndiyo maana wayahudi waliokuwa wakiishi Mecca walikuwa wakimcheka sana kwa kutwist story za vitabu vyao ili atimize ajenda yake.
 
Katika yote hii haijawahi niingia akilini.Mimi naamini miujiza au ufunuo wa namna hii lazima uwe na ushahidi usiotia shaka.Mwamedi alikuwa mfanyabiashara na alikuwa ametembea sana japo hakuwa na elimu.Pia ufunua na historia nyingi ambazo zinalink na vitabu vya Musa alizipata kupitia Waraqah ambaye vitabu vya historia vinasema alikuwa mtawa wa kikatoliki pamoja na Khadijah.Hawa walitosha kumsimulia mambo akayatengeneza kumfit kama ambavyo alitoa historia ya kukutana na mitume wa mwenyezi Mungu na uundwaji wa swala tano.Lakini ifike mahali tuseme tu kwamba hata shetani ana mafunuo yake japo ushahidi hata wa kwenda Jerusalem unatia shaka manake kipindi hicho hekalu lilikuwa halipo ila yeye alilikuta na akapaa kuanzia pale.Ndiyo maana wayahudi waliokuwa wakiishi Mecca walikuwa wakimcheka sana kwa kutwist story za vitabu vyao ili atimize ajenda yake.
Hata bi Aisha anaonekana kupishana na ile safari kwa sababu yeye anasema mzee baba alikuwa amelala pale usiku ule wakati mtume na masahaba wanasema alienda kimwili.

Kiufupi kuna shida sana kumwelewa Mwamedi ukiwa mfuatiliaji wa historia na vitabu.Pili wahyi alivyoupokea unatofautiana na namna Ywhh aliwatumia manabii wa kweli ufunuo wake.

Sisi Tunaamini nabii wa mwisho ni Yohana mbatizaji huyo mwingine alitengenezwa na majesuit.Kutafuta authentity yake kama nabii ni kugumu sana.Miujiza yote inayosemekana kufanywa naye nayo inatia shaka japo yeye mwenyewe alipoambiwa ajithibitishe kwa miujiza alisema hana uwezo huo yeye ni mwanadamu tu.Tutashindwaje kuamini kuwa alipachikiwa hiyo miujiza na maswahaba wake?
 
Katika yote hii haijawahi niingia akilini.Mimi naamini miujiza au ufunuo wa namna hii lazima uwe na ushahidi usiotia shaka.Mwamedi alikuwa mfanyabiashara na alikuwa ametembea sana japo hakuwa na elimu.Pia ufunua na historia nyingi ambazo zinalink na vitabu vya Musa alizipata kupitia Waraqah ambaye vitabu vya historia vinasema alikuwa mtawa wa kikatoliki pamoja na Khadijah.Hawa walitosha kumsimulia mambo akayatengeneza kumfit kama ambavyo alitoa historia ya kukutana na mitume wa mwenyezi Mungu na uundwaji wa swala tano.Lakini ifike mahali tuseme tu kwamba hata shetani ana mafunuo yake japo ushahidi hata wa kwenda Jerusalem unatia shaka manake kipindi hicho hekalu lilikuwa halipo ila yeye alilikuta na akapaa kuanzia pale.Ndiyo maana wayahudi waliokuwa wakiishi Mecca walikuwa wakimcheka sana kwa kutwist story za vitabu vyao ili atimize ajenda yake.
haya maneno yako hayana tofauti na maneno ya wapiga viroba.

Unatoka kwenye mada kwa jazba za viroba.
uaathirika kijana.
Swali lilikuwa Vipi umkubali mtu aliyedai KAOTA NDOTO YA MCHANA?
Paulo HAKUWAHI kuonana na Yesu WALA WANAFUNZI WAKE YESU WOTE 12.
Leo hii asilimia 86% ya Agano Jipya ni maneno ya Paulo.

Amka kijana Kabla mauti hayajakupigia hodi.
achana na Ibada za Sanamu. Agano la kale na Jipya vyote vimekataza.
Chaguo ni lako. utaamua KUMUABUDU MUNGU MMOJA au utaabudu Sanamu la mzungu likisaidiwa na Maneno ya mtu aliyejipa utume mwenyewe!.
 
haya maneno yako hayana tofauti na maneno ya wapiga viroba.

Unatoka kwenye mada kwa jazba za viroba.
uaathirika kijana.
Swali lilikuwa Vipi umkubali mtu aliyedai KAOTA NDOTO YA MCHANA?
Paulo HAKUWAHI kuonana na Yesu WALA WANAFUNZI WAKE YESU WOTE 12.
Leo hii asilimia 86% ya Agano Jipya ni maneno ya Paulo.

Amka kijana Kabla mauti hayajakupigia hodi.
achana na Ibada za Sanamu. Agano la kale na Jipya vyote vimekataza.
Chaguo ni lako. utaamua KUMUABUDU MUNGU MMOJA au utaabudu Sanamu la mzungu likisaidiwa na Maneno ya mtu aliyejipa utume mwenyewe!.
Mimi natafuta elimu.Itakuwa ni jambo jema sana tukielimishana kwa ustaarabu bila kuwa na jazba yeyote.Hatujamuongelea Paulo ila tunafikirisha vichwa kutafuta authenicity ya safari(ndoto/imagination)za Mwamedi. Kama mnaamini mwenyezi Mungu alimtuma mtu asiyejua kusoma na kuandika kuwa nabii tunashindwaje na sisi wengine kuwa mwenyezi Mungu alimtumia Paulo muuaji kuwa mtume.
 
haya maneno yako hayana tofauti na maneno ya wapiga viroba.

Unatoka kwenye mada kwa jazba za viroba.
uaathirika kijana.
Swali lilikuwa Vipi umkubali mtu aliyedai KAOTA NDOTO YA MCHANA?
Paulo HAKUWAHI kuonana na Yesu WALA WANAFUNZI WAKE YESU WOTE 12.
Leo hii asilimia 86% ya Agano Jipya ni maneno ya Paulo.

Amka kijana Kabla mauti hayajakupigia hodi.
achana na Ibada za Sanamu. Agano la kale na Jipya vyote vimekataza.
Chaguo ni lako. utaamua KUMUABUDU MUNGU MMOJA au utaabudu Sanamu la mzungu likisaidiwa na Maneno ya mtu aliyejipa utume mwenyewe!.
Tatizo lenu hampendi Mwamedi awe challenged.Mnatuambia kitabu chenu kilishushwa,sisi tunasema okay lakini tukianza kutafuta maarifa zaidi tunagundua kimekuwa compiled kwa zaidi ya miaka mia hamsini.Mnakuja tena na hoja kwamba hakijawahi kubadilika napo tunasema OK tunafukua tunagundua kimechanganywa maneno mengi tu yasiyokuwa ya kiarabu na kimewekewa ulinzi wa adhabu ya kifo kama kitahojiwa na kutafsiriwa tofauti.Jifunzeni kuwavumilia wenzenu na kuvumilia dini nyingine.

Kuna nchi hamtaki watu wengine waeneze dini yao kwa sababu Mungu wenu allah hawez kujitetea wala kujipigania mpaka mumsaidie.Ikatokea mkaruhusu kwenye hizo nchi zingine Habari njema ipelekwe uislam tutausikia kwenye vitabu vya historia
 
Tatizo lenu hampendi Mwamedi awe challenged.Mnatuambia kitabu chenu kilishushwa,sisi tunasema okay lakini tukianza kutafuta maarifa zaidi tunagundua kimekuwa compiled kwa zaidi ya miaka mia hamsini.Mnakuja tena na hoja kwamba hakijawahi kubadilika napo tunasema OK tunafukua tunagundua kimechanganywa maneno mengi tu yasiyokuwa ya kiarabu na kimewekewa ulinzi wa adhabu ya kifo kama kitahojiwa na kutafsiriwa tofauti.Jifunzeni kuwavumilia wenzenu na kuvumilia dini nyingine.Kuna nchi hamtaki watu wengine waeneze dini yao kwa sababu Mungu wenu allah hawez kujitetea wala kujipigania mpaka mumsaidie.Ikatokea mkaruhusu kwenye hizo nchi zingine Habari njema ipelekwe uislam tutausikia kwenye vitabu vya historia
sasa ngonjera na mipasho ya nini?
si uweke hio mifano hai hapa ya hayo madai yako km wewe ni mgalatia unaesema kweli?

Ohh nchi....ohhh neno jema blah...blah...!
weka madai yako kwa mifano hai au vyanzo vya hayo madai yako?
ukiambiwa usiingie JF baada ya kupiga viroba hausikii sasa unaona utumbo unaoandika?
Nitajie huo utafiti uliofanya km wewe hujalewa Gongo ya Jero.
 
sasa ngonjera na mipasho ya nini?
si uweke hio mifano hai hapa ya hayo madai yako km wewe ni mgalatia unaesema kweli?

Ohh nchi....ohhh neno jema blah...blah...!
weka madai yako kwa mifano hai au vyanzo vya hayo madai yako?
ukiambiwa usiingie JF baada ya kupiga viroba hausikii sasa unaona utumbo unaoandika?
Nitajie huo utafiti uliofanya km wewe hujalewa Gongo ya Jero.
Lugha unayotoa inaonesha kabisa kuwa huna hoja itakayonijenga au kunifanya niamini unachoamini
 
Lugha unayotoa inaonesha kabisa kuwa huna hoja itakayonijenga au kunifanya niamini unachoamini
unaendelea na ngonjera..?!

we si umeweka madai mengi huko juu kuhusu imani yangu?
Sasa achana na kwaya. leta ushahidi wa madai yako uelimishwe bure.
usilete ujanja wa kitoto kukimbilia self defence.
 
unaendelea na ngonjera..?!

we si umeweka madai mengi huko juu kuhusu imani yangu?
Sasa achana na kwaya. leta ushahidi wa madai yako uelimishwe bure.
usilete ujanja wa kitoto kukimbilia self defence.
Did Muhammad only have one version of the Qur’an?
The answer is no. The Hadith records that Muhammad taught different versions of the Qur'an to his companions.

Narrated Umar bin Al-Khattab: I heard Hisham bin Hakim reciting Surat Al-Furqan during the lifetime of Allah's Apostle and I listened to his recitation and noticed that he recited in several different ways which Allah's Apostle had not taught me. I was about to jump over him during his prayer, but I controlled my temper and when he had completed his prayer, I put his upper garment around his neck and seized him by it and said, "Who taught you this Surat which I heard you reciting ?" He replied, "Allah's Apostle taught it to me". I said, "You have told a lie, for Allah's Apostle taught it to me in a different way from yours". So I dragged him to Allah's Apostle and said, "I heard this person reciting Surat Al-Furqan in a way which you haven't taught me!" On that Allah's Apostle said, "Release him (Umar) recite, O Hisham!" Then he recited in the same way I heard him reciting. Then Allah's Apostle said, "It was revealed in this way", and added, "Recite, O Umar", I recited it as he had taught me. Allah's Apostle then said, "It was revealed in this way. This Qur'an has been revealed to be recited in seven different ways , so recite of it whichever is easier for you." ( Sahih al-Bukhari : vol. 6, bk. 61, no. 514)
Was the Qur’an collected into one book under Muhammad’s supervision?

No. The following hadith shows that before Muhammad died he had not collect the words of the Qur’an into one authorised book, nor had he commanded this to be done. It was his companions who decided to do this. They gathered together material from various sources and made their own collections.

Narrated Zaid bin Thabit: ... "Therefore I (Umar) suggest, you (Abu Bakr) order that the Qur'an be collected." I said to 'Umar, " How can you do something which Allah's Apostle did not do ?" ... Abu Bakr kept on urging me (Zaid) to accept his idea until Allah opened my chest for what He had opened the chests of Abu Bakr and 'Umar. So I started looking for the Qur'an and collecting it from (what was written on) palmed stalks, thin white stones and also from the men who knew it by heart , till I found the last verse of Surat At-Tauba (Repentance) with Abi Khuzaima Al-Ansari, and I did not find it with anybody other than him. ... ( Sahih al-Bukhari : vol. 6, bk. 61, no. 509)

And Muhammad’s companions had to discuss among themselves what parts to include in their collections of the Qur’an.
Therefore Muhammad did not supervise the collection of the words of the Qur’an into one book, nor did he command that this ever be done. It was his companions who made collections of the Qur’an by gathering together various sources from different people. They discussed among themselves what material was authentic and combined these parts to make their collections.

Early in Islam’s history there were many synoptic Qur’ans. These Qur’ans were the collections of various companions of Muhammad. Some of them were the Qur’ans of those who Muhammad had commissioned to teach the Qur’an. These were not simply for the personal use of the companion but were used to teach entire regions. They were similar yet differed in the number of suras, the sura order, and the wording of verses.

Uthman’s innovation was to make one Qur’an for the entire Muslim world. He was not trying to preserve these differences but remove them, and this is how there came to be one Qur’an : The other versions made by the companions of Muhammad were destroyed. Even though Muhammad had commissioned several of these companions to teach the Qur’an, Uthman only kept one collection and destroyed the rest.

Did all of the companions of the Muhammad agree with Uthman’s actions?
No, in particular Abdullah ibn Mas’ud objected to Uthman’s actions. Abdullah ibn Mas’ud was personally commissioned by Muhammad to teach the Qur’an:

Narrated Masruq: ... I heard the Prophet saying, "Take (learn) the Qur'an from four (men): `Abdullah bin Masud, Salim, Mu'adh and Ubai bin Ka'b." ( Sahih al-Bukhari : vol. 6, bk. 61, no. 521)
He even recited the Qur’an to Muhammad.
Narrated Abdullah bin Masud: The Prophet said to me, "Recite (the) Quran to me." I said to him. "Shall I recite (it) to you while it has been revealed to you?" He said, "I like to hear it from another person." ( Sahih al-Bukhari : vol. 6, bk. 61, no. 576)

There are few more Hadith displaying such arguments but Uthman was able to enforce his decision and eventually all the companions had to accept this. Had Uthman not enforced his version of the Qur’an, other collections of the Qur’an could have remained until today.
Is the Uthmanic Qur’an complete?

Again the answer is no. There is ample evidence throughout the Hadith of authentic Qur’anic material not included in Uthman’s Qur’an.
... We used to recite a surah which resembled in length and severity to (Sura) Bara’at (sura 9). I have, however, forgotten it with the exception of this which I remember out of it: “If there were two valleys full of riches, for the son of Adam, he would long for a third valley, and nothing would fill the stomach of the son of Adam but dust” ... ( Sahih Muslim : bk. 5, no. 2286)
... Allah sent Muhammad (saw) with the Truth and revealed the Holy Book to him, and among what Allah revealed, was the verse of the Rajam (the stoning of married persons, male and female, who commit adultery) and we did recite this verse and understood and memorized it. Allah’s Apostle (saw) did carry out the punishment of stoning and so did we after him. I am afraid that after a long time has passed, somebody will say, "By Allah, we do not find the verse of the Rajam in Allah’s Book", and thus they will go astray by leaving an obligation which Allah has revealed. ( Sahih al-Bukhari : vol. 8, bk. 82, no. 817)

This sura about the son of Adam, and the verse about stoning for adultery, are not in the Uthmanic Qur’an, which is the modern Qur’an. Therefore those who compiled the Uthmanic Qur’an made choices about what to include and what to exclude; they did not include everything.

Summary:
The history and content of the Qur’an has resulted in Islam’s scholars seeking to defend the Qur’an according to their own opinion ( ikhtilaf ) of what the evidence says, and not upon ‘facts’, of which there seem to be very few in Islam. This has resulted in a conflicting array of ‘stories’ and has placed Islam in the embarrassing position of having several explanations for the presence of such divergences in the early written texts, when it has been telling everyone that such variations have never existed!

Islam has been leading everyone to believe that the Qur’an has only ever had one text (usually stated as "the one Muhammad left us"), and not ‘7’! This is obviously another ‘outwitting’ by the hierarchy of Islam upon the unsuspecting Ummah.
However, the reason that Islam must hide the truth about itself seems obvious. How could it openly attack the Bible’s many manuscripts all representing one text, and every one of them able to be compared with each other as a safeguard against error, if Islam were to admit that it never had just ‘one’, but ‘7’, and it can’t even tell anyone what was in them!?
Therefore it has become not only convenient but necessary for Islam’s survival, to avoid discussing early details about the Qur’an.

831 Views · View Upvoters Answered Dec 3, 2016 · Author has 192 answers and 383k answer views Gaurav Kohli, Agnostic
 
Back
Top Bottom