Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Tangu mwanzo wa Kanisa kulikuwa na Wakristo walioshika maisha ya useja na pengine walianzisha jumuia.
Kufuatana na mifano ya Yesu Kristo na Bikira Maria, Agano Jipya linatoa habari za wanaume na wanawake waliojinyima ndoa kwa ajili ya ufalme wa Mungu, kama vile mabinti wanne wa Filipo waliokuwa mabikira na manabii (Mdo. 21:9). Hasa mtume Paulo aliwahimiza Wakristo wowote wanaoweza wafanye hivyo kama alivyofanya mwenyewe kwa kufuata shauri la Bwana (taz. 1Kor 7:25-34).
Mababu wa Kanisa kuanzia karne I waliandika juu ya wanaume waseja wanaozungukazunguka ili kuhubiri, na juu ya mabikira ambao utakatifu wao unaonyesha Ukristo ulivyo bora kuliko ulimwengu wa anasa unaoliudhi Kanisa.
Nje ya Dola la Kirumi (Mesopotamia na Persia) useja ulitazamwa kama agano na Kristo la kuwafaa wote.
Polepole mabikira walianza kuorodheshwa na kukubaliwa na askofu na kukusanywa katika jumuia. Ilitokea vilevile kwa wanaume wa toba walioanzisha miundo kamili kuliko juhudi za nyumbani mwao, wakishika ufukara fulani wa hiari, mafungo, kujinyima vyakula mbalimbali, kukesha usiku, kuimba Zaburi na kusali kwa moyo.
Karne XX, ngumu kwa Kanisa na kwa dunia yote, ilileta mangamuzi mapya hasa katika maisha ya ulimwenguni. Kwa mara nyingine walei walichangia sana hali mpya ndani ya Kanisa Katoliki, ya kuthamini na kushughulikia mambo ya kidunia.
Katika juhudi za kuratibu nyanja zote za maisha ya binadamu, baadhi walijisikia haja ya kuwekwa wakfu bila ya kujitenga na maisha ya kawaida.
Polepole Kanisa likafikia uamuzi wa kuwakubalia (1950) mashirika ya kilimwengu ambayo waamini wanawekwa wakfu wawe chumvi, mwanga na chachu kati ya watu. Hivyo wanajitahidi kuwa na moyo wa kujikana na bidii ya kitume kama watawa, lakini pia utaalamu wa kisasa na urahisi wa kupenya mazingira yoyote kama walei.
Kanisa Katoliki duniani lipo imara kufuatia uimara wa shirika lake la kjasusi la Jesuiti ambalo kwa maana halisi ni idara ya ulinzi na usalama ya kanisa Katoliki duniani. Mataifa mengi duniani yanaendesha mifumo yao ya idara za ulinzi kwa kuakisi mfumo wa Jesuiti, hii inasimama mpaka nchini Tanzania. Shirika hilo kwa kiwango kikubwa ndilo linaloamua dunia itawaliwaje.
Shirika la Yesu (kwa Kilatini Societas Iesu, kifupi S.J. au S.I. au SJ au SI) ni shirika kubwa la watawa wanaume 19,216 katika Kanisa Katoliki, lililoenea katika nchi 112 za kontinenti 6.
Wanashirika wanaitwa Wajesuiti na ni maarufu pia kwa elimu yao ya juu katika fani mbalimbali, za kidunia na za kidini.
Mwanzilishi wake ni Ignas wa Loyola ambaye, kisha kuacha jeshi, alifuata kwa juhudi zote maisha ya kiroho na kutunga Mazoezi ya Kiroho ili kuongoza watu wamfuate Yesu Kristo.
Mwaka 1534, Ignas alikusanya vijana sita wakaweka nadhiri za ufukara, useja mtakatifu na utiifu, halafu ile ya kumtii daima Papa.
Miongoni washirika wenye nguvu ndani ya Wajesuiti ni Papa Francis,
Papa Francis au Kardinali Jorge Mario Bergoglio, alizaliwa Desemba 17, 1936 mjini Buenos Aires, Argentina. Ni mfuasi wa Shirika la Wajesuiti tangu mwaka 1969 na alisomea Argentina na Ujerumani. Alipewa ukardinali mwaka 1998.
Na kwa Tanzania miongoni mwa makazi yao wakuu ya wa ujasusi ni Arusha, Dodoma na Dar Es Salaam, Pia kasisi Method Kilain ni miongoni mwa waliopikwa kupitia shule za Wajeisuti ambapo Juni 1985-Juni 1990 Padre Method alitumwa kwenda Roma kujifunzia shahada ya juu ya Kanisa katika Chuo Kikuu maarufu cha wajesuiti cha Gregoriana ambapo baada ya kupata shahada ya M.A (Licence) ya somo hilo aliendelea na kupata shahada ja juu ya udaktari (PhD) katika somo hilo,ilikupata shahada hiyo aliandika kitabu juu ya historia ya kanisa katika Kagera (Bukoba na Rulenge).
Ukipingana na Ukatoliki, umepingana na Uhai wako Kiroho!
Kufuatana na mifano ya Yesu Kristo na Bikira Maria, Agano Jipya linatoa habari za wanaume na wanawake waliojinyima ndoa kwa ajili ya ufalme wa Mungu, kama vile mabinti wanne wa Filipo waliokuwa mabikira na manabii (Mdo. 21:9). Hasa mtume Paulo aliwahimiza Wakristo wowote wanaoweza wafanye hivyo kama alivyofanya mwenyewe kwa kufuata shauri la Bwana (taz. 1Kor 7:25-34).
Mababu wa Kanisa kuanzia karne I waliandika juu ya wanaume waseja wanaozungukazunguka ili kuhubiri, na juu ya mabikira ambao utakatifu wao unaonyesha Ukristo ulivyo bora kuliko ulimwengu wa anasa unaoliudhi Kanisa.
Nje ya Dola la Kirumi (Mesopotamia na Persia) useja ulitazamwa kama agano na Kristo la kuwafaa wote.
Polepole mabikira walianza kuorodheshwa na kukubaliwa na askofu na kukusanywa katika jumuia. Ilitokea vilevile kwa wanaume wa toba walioanzisha miundo kamili kuliko juhudi za nyumbani mwao, wakishika ufukara fulani wa hiari, mafungo, kujinyima vyakula mbalimbali, kukesha usiku, kuimba Zaburi na kusali kwa moyo.
Karne XX, ngumu kwa Kanisa na kwa dunia yote, ilileta mangamuzi mapya hasa katika maisha ya ulimwenguni. Kwa mara nyingine walei walichangia sana hali mpya ndani ya Kanisa Katoliki, ya kuthamini na kushughulikia mambo ya kidunia.
Katika juhudi za kuratibu nyanja zote za maisha ya binadamu, baadhi walijisikia haja ya kuwekwa wakfu bila ya kujitenga na maisha ya kawaida.
Polepole Kanisa likafikia uamuzi wa kuwakubalia (1950) mashirika ya kilimwengu ambayo waamini wanawekwa wakfu wawe chumvi, mwanga na chachu kati ya watu. Hivyo wanajitahidi kuwa na moyo wa kujikana na bidii ya kitume kama watawa, lakini pia utaalamu wa kisasa na urahisi wa kupenya mazingira yoyote kama walei.
Kanisa Katoliki duniani lipo imara kufuatia uimara wa shirika lake la kjasusi la Jesuiti ambalo kwa maana halisi ni idara ya ulinzi na usalama ya kanisa Katoliki duniani. Mataifa mengi duniani yanaendesha mifumo yao ya idara za ulinzi kwa kuakisi mfumo wa Jesuiti, hii inasimama mpaka nchini Tanzania. Shirika hilo kwa kiwango kikubwa ndilo linaloamua dunia itawaliwaje.
Shirika la Yesu (kwa Kilatini Societas Iesu, kifupi S.J. au S.I. au SJ au SI) ni shirika kubwa la watawa wanaume 19,216 katika Kanisa Katoliki, lililoenea katika nchi 112 za kontinenti 6.
Wanashirika wanaitwa Wajesuiti na ni maarufu pia kwa elimu yao ya juu katika fani mbalimbali, za kidunia na za kidini.
Mwanzilishi wake ni Ignas wa Loyola ambaye, kisha kuacha jeshi, alifuata kwa juhudi zote maisha ya kiroho na kutunga Mazoezi ya Kiroho ili kuongoza watu wamfuate Yesu Kristo.
Mwaka 1534, Ignas alikusanya vijana sita wakaweka nadhiri za ufukara, useja mtakatifu na utiifu, halafu ile ya kumtii daima Papa.
Miongoni washirika wenye nguvu ndani ya Wajesuiti ni Papa Francis,
Papa Francis au Kardinali Jorge Mario Bergoglio, alizaliwa Desemba 17, 1936 mjini Buenos Aires, Argentina. Ni mfuasi wa Shirika la Wajesuiti tangu mwaka 1969 na alisomea Argentina na Ujerumani. Alipewa ukardinali mwaka 1998.
Na kwa Tanzania miongoni mwa makazi yao wakuu ya wa ujasusi ni Arusha, Dodoma na Dar Es Salaam, Pia kasisi Method Kilain ni miongoni mwa waliopikwa kupitia shule za Wajeisuti ambapo Juni 1985-Juni 1990 Padre Method alitumwa kwenda Roma kujifunzia shahada ya juu ya Kanisa katika Chuo Kikuu maarufu cha wajesuiti cha Gregoriana ambapo baada ya kupata shahada ya M.A (Licence) ya somo hilo aliendelea na kupata shahada ja juu ya udaktari (PhD) katika somo hilo,ilikupata shahada hiyo aliandika kitabu juu ya historia ya kanisa katika Kagera (Bukoba na Rulenge).
Ukipingana na Ukatoliki, umepingana na Uhai wako Kiroho!