yutong
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 1,601
- 338
Hayo yote tunayoendelea kuyashuhudia ni kutokana na moto mkali uliowashwa na CDM. Tunaweza kusema hivi kama sio Chadema je Lowasa angejuzulu? kama sio CDM CCM wangejivua Gamba? katiba kusitishwa kujadiliwa bungeni unadhani ni nguvu ya nani? Je makamba angeng'ooka kwenye nafasi ya ukatibu CCM? je rostam aziz angejiuzulu ubunge? Anayewaona Chadema hawana maana yeye ndo atakuawa na matatizo.
Ni katika hali hiyo nathubutu kusema kwamba kwa moto huu waliouwasha CDM utaendelea kukimaliza taratibu chama cha magamba kama tuvoshuhudia. CCM wameshindwa kabisa kuwaletea maendeleo wananchi wa tanzania.
Ni katika hali hiyo nathubutu kusema kwamba kwa moto huu waliouwasha CDM utaendelea kukimaliza taratibu chama cha magamba kama tuvoshuhudia. CCM wameshindwa kabisa kuwaletea maendeleo wananchi wa tanzania.