Ofisi ya mkurugenzi wa manispaa ya singida imegeuka kuwa uwanja wa ngumi tangu jana, baada ya leo asubuhi kuanza tena ngumi.
Jana ilikuwa diwani wa kata ya unyambwa mh. Shaaban satu dhidi ya mfanyakazi wa ofisi ya mkurugenzi kitengo cha ardhi bw. Ramadhani sumwa.
Leo imekuwa ni baina ya kaimu mkurugenzi mzee simon hoja na diwani wa kata ya unyamikumbi mh. Ikaku, suala la msingi ni mambo ya ufisadi wa ardhi katika manispaa unaofanywa na kikundi kidogo kisichotaka kuhojiwa.
Wanalinda heshima ya chama, wapo sasa ofisini wamejifungia kulinda heshima ya chama hawapelekani polisi......
Kikao kinaongozwa na meya salumu mohamed mahami.
Jana ilikuwa diwani wa kata ya unyambwa mh. Shaaban satu dhidi ya mfanyakazi wa ofisi ya mkurugenzi kitengo cha ardhi bw. Ramadhani sumwa.
Leo imekuwa ni baina ya kaimu mkurugenzi mzee simon hoja na diwani wa kata ya unyamikumbi mh. Ikaku, suala la msingi ni mambo ya ufisadi wa ardhi katika manispaa unaofanywa na kikundi kidogo kisichotaka kuhojiwa.
Wanalinda heshima ya chama, wapo sasa ofisini wamejifungia kulinda heshima ya chama hawapelekani polisi......
Kikao kinaongozwa na meya salumu mohamed mahami.